Filters

Results Clear all

Mkoa

Mkoa

Make

Make

Model

Model

Condition

Condition

Body-Type

Body-Type

Drive Type

Drive Type

Transmission

Transmission

Fuel Type

Fuel Type

Cylinders

Cylinders

Color

Color

Doors

Doors
Clear all
More filters
45 Results
Toyota Noah For Sale In Dar es salaam Used Nje Ya Nchi Unregistered
Nyengine tena s versio 2009noah price:22.9ml 📍dsm📲0785-32335...
TSh 22,900,000
2009 • Not-Reg • Petrol
Dar es salaam
Automatic
Toyota Noah For Sale In Dar es salaam Used Nje Ya Nchi Unregistered
2008 toyota noah si edition zrr70 black 2000cc 74,000km petr...
TSh 23,500,000
2008 • Not-Reg • Petrol
Dar es salaam
Automatic
Toyota Noah Old Model For Sale In Dar es salaam Used Tanzania Namba C
Mtumiaji mmoja haijarudiwa rangi kilometer 151000 haijapata ...
TSh 10,000,000
1998 • Namba C • Petrol
Dar es salaam
Automatic
Toyota Noah For Sale In Singida Used Tanzania Namba C
Gar ipo katioka halio nzuri na inapatikana makambako mjini k...
TSh 9,000,000
2006 • Namba C • Petrol
Singida
Automatic
Toyota Noah For Sale In Dar es salaam Used Nje Ya Nchi Unregistered
@fimbo sana on sale🚘 toyota noah(chases ) year 2008 engine c...
TSh 20,500,000
2008 • Not-Reg • Petrol
Dar es salaam
Automatic
Toyota Noah For Sale In Morogoro Used Tanzania Namba C
Gari iko vizuri haina changamoto nahitaji kubadilisha ndiosa...
TSh 8,000,000
2005 • Namba C • Petrol
Morogoro
Automatic
Toyota Noah For Sale In Dar es salaam Used Tanzania Namba D
Vitz 990cc automatic milioni 10.5 wazee box 3 📲0785-323353/w...
TSh 10,500,000
2010 • Namba D • Petrol
Dar es salaam
Automatic
Toyota Noah For Sale In Dar es salaam Used Tanzania Namba D
Muonekano: jeupe yenye bodi imaramaelezo: 2.0 fwd, 8 seats, ...
TSh 15,000,000
2001 • Namba D • Petrol
Dar es salaam
Automatic
Toyota Noah For Sale In Dar es salaam Used Tanzania Namba D
Temeke dar es salaam
TSh 10,000,000
2005 • Namba D • Petrol
Dar es salaam
Automatic
Toyota Noah For Sale In Dar es salaam Used Nje Ya Nchi Unregistered
Noah valve matic 2009 bei:21ml book mapema ikifika iwe yako,...
TSh 21,000,000
2009 • Not-Reg • Petrol
Dar es salaam
Automatic
Toyota Noah For Sale In Dar es salaam Used Tanzania Namba B
Taili mpya bima mwaka mzima kuanzia octoba mpaka octoba mwak...
TSh 8,000,000
2000 • Namba B
Dar es salaam
Automatic
Toyota Noah For Sale In Dar es salaam Used Nje Ya Nchi Unregistered
2008 toyota noah si zrr70 black 1,998cc 97,000km petrol auto...
TSh 22,900,000
2008 • Not-Reg
Dar es salaam
Automatic

Bei Za Magari Tanzania

Kwa mtazamo wa Tanzania nzima, magari yaliyopo sokoni huanzia takribani TSh 4.5M kwa magari madogo ya matumizi ya kila siku na kufika hadi TSh 31.5M kwa SUV kubwa, 4x4 na magari ya kifahari ya kiwango cha showroom.

Magari tunayoyaona sokoni huwa ya miaka mbalimbali, kuanzia takribani 1998 hadi 2013, na wastani wa bei ukiwa TSh 15.9M. Magari used ya miaka ya nyuma huwa nafuu zaidi, wakati magari ya miaka mipya, yenye mileage ndogo na yaliyokaribia ubora wa magari ya showroom bei huwa juu zaidi.

Pia aina ya usajili wa plate namba ya gari una athari kubwa kwenye bei. Magari ambayo hayajasajiliwa lakini ushuru wote umelipwa mara nyingi huwa na bei ya juu zaidi, karibu sawa na bei za gari hii showroom Dar es salaam. Magari yenye namba kama Namba E, D, C, B au A huwa bei nafuu, na kadiri herufi inavyoshuka (kwa mfano kutoka E kwenda A) ndivyo bei za magari inavyopungua.

Badala ya kutegemea showroom moja au maelezo ya muuzaji mmoja pekee, tumia GariPesa kulinganisha magari used na magari yaliyo karibu na kiwango cha showroom kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania, ili ufanye maamuzi ya bei kwa ujasiri zaidi.

Magari Yanayouzwa Tanzania. Tembelea orodha ya magari kutoka kwa wauzaji mbalimbali wenye bei na viwango tofauti, yote yakiwa yamekusanywa kwenye GariPesa kwa wanunuzi wa Tanzania. Tumia vichujio vilivyo juu kuchagua make, model, mwaka na bajeti inayokufaa.

Maswali Yaulizwayo Tanzania Sana Kuhusu Kununua Gari Kupitia GariPesa (FAQ)

Je GariPesa ni jukwaa gani na linasaidiaje kwenye kununua au kuuza gari?

GariPesa ni soko la mtandaoni la magari linalokuunganisha moja kwa moja na wauzaji na wanunuzi nchini Tanzania. Unaweza kutafuta magari kwa Make, Model, Mkoa, bei na vigezo vingine, kisha kuwasiliana na muuzaji kupitia simu au WhatsApp.

Je ninatakiwa kufanya nini kabla ya kuamua kununua gari lililotangazwa kwenye GariPesa?

Kabla ya kuamua kununua, hakikisha unakagua gari kwa macho, kufanyiwa ukaguzi na fundi, kuangalia historia ya matengenezo na nyaraka kama kadi ya gari na mkataba sahihi. Epuka kutuma pesa bila kumwona muuzaji ana kwa ana kwenye eneo salama.

Je GariPesa inahusika kwenye miamala ya fedha kati ya mnunuzi na muuzaji?

Kwa sasa GariPesa ni jukwaa la matangazo na halishiki fedha kwa niaba ya wanunuzi au wauzaji. Malipo hufanyika moja kwa moja kati ya pande mbili. Tunashauri kila upande kufuata taratibu za usalama, mikataba iliyoandikwa na kukutana maeneo salama.

Je ninawezaje kupunguza hatari ya udanganyifu (scam) ninapotumia majukwaa ya magari mtandaoni?

Epuka ofa ambazo zinaonekana nzuri sana kuliko kawaida, usitume pesa bila kuliona gari na kumbukumbu kamili, na usikubali kushawishiwa kukutana maeneo hatarishi. Tumia mawasiliano rasmi na uhakikishe jina kwenye malipo linaendana na maelezo ya muuzaji.

Je ninaweza kupata magari yanayolingana na bajeti yangu kwa urahisi kwenye GariPesa?

Ndiyo, unaweza kutumia vichujio kama bei ya chini na ya juu, mwaka wa uzalishaji, hali ya gari na Mkoa ili kuona magari yanayolingana na bajeti na mahitaji yako. Unaweza pia kulinganisha matangazo kadhaa ya modeli moja kabla ya kuamua.

Download GariPesa App

Nunua na uza magari kirahisi zaidi kupitia simu yako.