Filters

Results Clear all

Mkoa

Mkoa

Make

Make

Model

Model

Condition

Condition

Body-Type

Body-Type

Drive Type

Drive Type

Transmission

Transmission

Fuel Type

Fuel Type

Cylinders

Cylinders

Color

Color

Doors

Doors
Clear all
More filters
47 Results
Mitsubishi Canter For Sale In Shinyanga Used Tanzania Namba D
Canter namba d box body, engine 4d35. Iko katika hali nzuri,...
TSh 35,000,000
2004 • Namba D • Diesel
Shinyanga
Manual
JAC Gal​lop 10 Tractor New Model For Sale In Dar es salaam Mpya (0KM) Unregistered
Gari mpya la mizigo linauwezo wa kubeba ton3.5 hadi 5 pia ni...
TSh 57,000,000
2025 • Not-Reg • Diesel
Dar es salaam
Manual
Iveco EuroCargo For Sale In Mara Used Tanzania Namba D
Ina engine ya howo 371 hp inayoweza kusukuma mizigo mizito z...
TSh 48,000,000
2004 • Namba D • Diesel
Mara
Manual
Mitsubishi Fuso For Sale In Dar es salaam Used Nje Ya Nchi Unregistered
Mali mpya...👇🏽 fuso 6d16 turbo ndogo milioni 110 net+ ushuru...
TSh 110,000,000
2000 • Not-Reg • Diesel
Dar es salaam
Manual
Mitsubishi Fuso For Sale In Dar es salaam Used Nje Ya Nchi Unregistered
Fusso 6d16 turbo milioni 105 wazee bei pamoja na usajili 📍ds...
TSh 105,000,000
2000 • Not-Reg • Diesel
Dar es salaam
Manual
JAC Gal​lop 12 Dump Truck New Model For Sale In Dar es salaam Mpya (0KM) Unregistered
Gari hili linauwezo wa kubeba ton5 hadi 7 pia warranty ni mw...
TSh 78,000,000
2025 • Not-Reg • Diesel
Dar es salaam
Manual
HOWO (Syno-Truck) HOWO 6×4 Dump Truck New Model For Sale In Arusha Used Nje Ya Nchi Namba D
Gari hii ni lhd na iko vizuri haina kipengele chochote,tyres...
TSh 60,000,000
2015 • Namba D
Arusha
Manual
Mitsubishi Fuso For Sale In Dar es salaam Used Nje Ya Nchi Unregistered
Fuso tipa 6d17 wahi mbio zipo 2 bei:130ml + usajili. 📍dsm📞07...
TSh 130,000,000
2000 • Not-Reg • Diesel
Dar es salaam
Manual
Toyota TownAce For Sale In Dar es salaam Used Nje Ya Nchi Unregistered
Townace freezer model: 2000 cc: 2180 fuel: diesel 4wd 32.5 m...
TSh 32,500,000
2000 • Not-Reg • Diesel
Dar es salaam
Automatic
Suzuki Carry Old Model For Sale In Dar es salaam Used Nje Ya Nchi Namba E
New tire, used only 8 months in tanzania,the price drop from...
TSh 9,000,000
1998 • Namba E • Petrol
Dar es salaam
Manual
HOWO (Syno-Truck) HOWO N 6×4 Dump Truck New Model For Sale In Dar es salaam Mpya (0KM) Unregistered
Trailer mpya kabisa karibu boss wangu tufanye kazi
TSh 55,000,000
2025 • Not-Reg
Dar es salaam
Scania 124 For Sale In Dar es salaam Used Nje Ya Nchi Unregistered
2001 scania 124 420 pde 6x2 tractor unit pde 2 fuel pipe 12 ...
TSh 150,000,000
2001 • Not-Reg • Diesel
Dar es salaam
Manual

Bei Za Magari Tanzania

Kwa mtazamo wa Tanzania nzima, magari yaliyopo sokoni huanzia takribani TSh 2.7M kwa magari madogo ya matumizi ya kila siku na kufika hadi TSh 396M kwa SUV kubwa, 4x4 na magari ya kifahari ya kiwango cha showroom.

Magari tunayoyaona sokoni huwa ya miaka mbalimbali, kuanzia takribani 1982 hadi 2026, na wastani wa bei ukiwa TSh 36M. Magari used ya miaka ya nyuma huwa nafuu zaidi, wakati magari ya miaka mipya, yenye mileage ndogo na yaliyokaribia ubora wa magari ya showroom bei huwa juu zaidi.

Pia aina ya usajili wa plate namba ya gari una athari kubwa kwenye bei. Magari ambayo hayajasajiliwa lakini ushuru wote umelipwa mara nyingi huwa na bei ya juu zaidi, karibu sawa na bei za gari hii showroom Dar es salaam. Magari yenye namba kama Namba E, D, C, B au A huwa bei nafuu, na kadiri herufi inavyoshuka (kwa mfano kutoka E kwenda A) ndivyo bei za magari inavyopungua.

Badala ya kutegemea showroom moja au maelezo ya muuzaji mmoja pekee, tumia GariPesa kulinganisha magari used na magari yaliyo karibu na kiwango cha showroom kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania, ili ufanye maamuzi ya bei kwa ujasiri zaidi.

Magari Yanayouzwa Tanzania. Tembelea orodha ya magari kutoka kwa wauzaji mbalimbali wenye bei na viwango tofauti, yote yakiwa yamekusanywa kwenye GariPesa kwa wanunuzi wa Tanzania. Tumia vichujio vilivyo juu kuchagua make, model, mwaka na bajeti inayokufaa.

Maswali Yaulizwayo Tanzania Sana Kuhusu Kununua Gari Kupitia GariPesa (FAQ)

Je GariPesa ni jukwaa gani na linasaidiaje kwenye kununua au kuuza gari?

GariPesa ni soko la mtandaoni la magari linalokuunganisha moja kwa moja na wauzaji na wanunuzi nchini Tanzania. Unaweza kutafuta magari kwa Make, Model, Mkoa, bei na vigezo vingine, kisha kuwasiliana na muuzaji kupitia simu au WhatsApp.

Je ninatakiwa kufanya nini kabla ya kuamua kununua gari lililotangazwa kwenye GariPesa?

Kabla ya kuamua kununua, hakikisha unakagua gari kwa macho, kufanyiwa ukaguzi na fundi, kuangalia historia ya matengenezo na nyaraka kama kadi ya gari na mkataba sahihi. Epuka kutuma pesa bila kumwona muuzaji ana kwa ana kwenye eneo salama.

Je GariPesa inahusika kwenye miamala ya fedha kati ya mnunuzi na muuzaji?

Kwa sasa GariPesa ni jukwaa la matangazo na halishiki fedha kwa niaba ya wanunuzi au wauzaji. Malipo hufanyika moja kwa moja kati ya pande mbili. Tunashauri kila upande kufuata taratibu za usalama, mikataba iliyoandikwa na kukutana maeneo salama.

Je ninawezaje kupunguza hatari ya udanganyifu (scam) ninapotumia majukwaa ya magari mtandaoni?

Epuka ofa ambazo zinaonekana nzuri sana kuliko kawaida, usitume pesa bila kuliona gari na kumbukumbu kamili, na usikubali kushawishiwa kukutana maeneo hatarishi. Tumia mawasiliano rasmi na uhakikishe jina kwenye malipo linaendana na maelezo ya muuzaji.

Je ninaweza kupata magari yanayolingana na bajeti yangu kwa urahisi kwenye GariPesa?

Ndiyo, unaweza kutumia vichujio kama bei ya chini na ya juu, mwaka wa uzalishaji, hali ya gari na Mkoa ili kuona magari yanayolingana na bajeti na mahitaji yako. Unaweza pia kulinganisha matangazo kadhaa ya modeli moja kabla ya kuamua.

Download GariPesa App

Nunua na uza magari kirahisi zaidi kupitia simu yako.