Filters

Results Clear all

Mkoa

Mkoa

Make

Make

Model

Model

Condition

Condition

Body-Type

Body-Type

Drive Type

Drive Type

Transmission

Transmission

Fuel Type

Fuel Type

Cylinders

Cylinders

Color

Color

Doors

Doors
Clear all
More filters
2446 Results
Sort by:
Panga Kwa: Pendekezwa
BMW X3 For Sale In Dar es Salaam Used Tanzania Namba D
Gari imetunzwa vizuri sana. Ikifanyiwa service na watalaam w...
TSh 17,500,000
2007 • Namba D • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Subaru Forester (2008)
Subaru forester ya mwaka 2008, yenye injini ya 1990cc na tra...
TSh 16,500,000
2008 • Namba D • Petrol
Mwanza
Automatic
Subaru Forester (2010)
Subaru forester ya mwaka 2010 inauzwa kwa tzs 13,500,000. Ga...
TSh 13,500,000
2010 • Namba D • Petrol
Mwanza
BMW X3 (2005)
Bmw x3 ya mwaka 2005, yenye injini ya 2490cc na mileage ya k...
TSh 13,900,000
2005 • Namba E • Petrol
Mwanza
Automatic
Audi Q5 (2009)
Audi q5 ya mwaka 2009, rangi nyeupe (pearl white), inauzwa k...
TSh 27,500,000
2009 • Namba E • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Subaru Forester (2012)
Subaru forester sj5 ya mwaka 2012, rangi nyeusi metallic, in...
TSh 32,800,000
2012 • Not-Reg • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Toyota Land Cruiser Prado (2024)
Toyota land cruiser prado 250 series ya mwaka 2024, yenye in...
TSh 290,000,000
2024 • Not-Reg • Diesel
Dar es Salaam
Automatic
Subaru Forester (2006)
Subaru forester xt ya mwaka 2006, rangi ya bluu, inauzwa aru...
TSh 14,800,000
2006 • Namba D • Petrol
Arusha
Automatic
Volkswagen Touareg (2007)
Volkswagen touareg ya mwaka 2007, injini ya petroli 3100cc n...
TSh 38,500,000
2007 • Not-Reg • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Toyota Harrier (2007)
Toyota harrier ya mwaka 2007, rangi nyeusi, inauzwa kwa tzs ...
TSh 28,800,000
2007 • Namba D • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Subaru Forester (2011)
Subaru forester ya mwaka 2011, rangi nyeusi, injini ya petro...
TSh 27,500,000
2011 • Not-Reg • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Subaru Forester (2010)
Subaru forester ya mwaka 2010, yenye injini ya 1990cc na mil...
TSh 28,500,000
2010 • Not-Reg • Petrol
Mwanza
Automatic

Kununua Gari

Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.

Kuuza Gari

Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!

Bei Za Magari Tanzania

Kwa mtazamo wa Tanzania nzima, magari yaliyopo sokoni huanzia takribani TSh 490,000 kwa magari madogo ya matumizi ya kila siku na kufika hadi TSh 335M kwa SUV kubwa, 4x4 na magari ya kifahari ya kiwango cha showroom.

Magari tunayoyaona sokoni huwa ya miaka mbalimbali, kuanzia takribani 1987 hadi 2024, na wastani wa bei ukiwa TSh 32.8M. Magari used ya miaka ya nyuma huwa nafuu zaidi, wakati magari ya miaka mipya, yenye mileage ndogo na yaliyokaribia ubora wa magari ya showroom bei huwa juu zaidi.

Pia aina ya usajili wa plate namba ya gari una athari kubwa kwenye bei. Magari ambayo hayajasajiliwa lakini ushuru wote umelipwa mara nyingi huwa na bei ya juu zaidi, karibu sawa na bei za gari hii showroom Dar es salaam. Magari yenye namba kama Namba E, D, C, B au A huwa bei nafuu, na kadiri herufi inavyoshuka (kwa mfano kutoka E kwenda A) ndivyo bei za magari inavyopungua.

Badala ya kutegemea showroom moja au maelezo ya muuzaji mmoja pekee, tumia GariPesa kulinganisha magari used na magari yaliyo karibu na kiwango cha showroom kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania, ili ufanye maamuzi ya bei kwa ujasiri zaidi.

Download GariPesa App

Soko Kuu la Magari Tanzania.