Filters

Results Clear all

Mkoa

Mkoa

Make

Make

Model

Model

Condition

Condition

Body-Type

Body-Type

Drive Type

Drive Type

Transmission

Transmission

Fuel Type

Fuel Type

Cylinders

Cylinders

Color

Color

Doors

Doors
Clear all
More filters
175 Results
Sort by:
Panga Kwa: Pendekezwa
Benz C-Class (2009)
Benz c-class ya mwaka 2009, yenye injini ya petroli 1780cc n...
TSh 20,900,000
2009 • Namba E • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Benz E-Class (2010)
Mercedes benz e-class ya mwaka 2010, yenye injini ya 1790cc ...
TSh 14,900,000
2010 • Namba D • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Benz E-Class (2010)
Mercedes benz e-class ya mwaka 2010, yenye injini ya 1790cc,...
TSh 14,900,000
2010 • Namba D • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Benz E-Class (2008)
Mercedes benz e320 ya mwaka 2008 inauzwa kwa bei ya milioni ...
TSh 9,800,000
2008 • Namba D • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Benz C-Class (2012)
Mercedes-benz c class ya mwaka 2012, ikiendeshwa na petroli ...
TSh 21,800,000
2012 • Namba C • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Benz C-Class (2009)
Mercedes benz c 200 ya mwaka 2009, rangi ya kijivu, inatumia...
TSh 21,800,000
2009 • Namba E • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Benz E-Class (2010)
Mercedes benz e-class ya mwaka 2010, yenye injini ya 1790cc,...
TSh 14,900,000
2010 • Namba D • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Benz E-Class (2010)
Mercedes benz e-class ya mwaka 2010, yenye injini ya 1790cc ...
TSh 14,900,000
2010 • Namba D • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Benz E-Class (2010)
Benz e-class ya mwaka 2010, rangi nyeupe, inauzwa kwa 14.9 m...
TSh 14,900,000
2010 • Namba D
Dar es Salaam
Automatic
Benz E-Class (2008)
Benz e-class e320 ya mwaka 2008, rangi nyeupe, inauzwa kwa 9...
TSh 9,500,000
2008 • Namba D • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Benz E-Class (2010)
Mercedes benz e-class ya mwaka 2010, yenye injini ya 1790cc ...
TSh 14,900,000
2010 • Namba D • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Benz E-Class (2010)
Mercedes benz e-class ya mwaka 2010, yenye injini ya 1790cc ...
TSh 14,900,000
2010 • Namba D • Petrol
Dar es Salaam
Automatic

Kununua Gari

Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.

Kuuza Gari

Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!

Bei Ya Magari Ya Benz Tanzania

Bei za magari ya Benz nchini Tanzania hasa jijini Dar es salaam huanzia takribani TSh 6.9M kwa magari madogo ya matumizi ya kila siku na kufika hadi karibu TSh 395M kwa SUV kubwa, 4x4 na magari ya kifahari yaliyotoka showroom.

Kwenye matangazo yetu utaona mchanganyiko wa miaka tofauti ya Benz, kutoka takribani 1990 hadi 2022. Kwa ujumla, wastani wa bei za magari haya huwa karibu TSh 55.5M, lakini magari mapya yenye specs nzuri, mileage ndogo, usajili mpya na historia nzuri ya matengenezo yanaweza kuwa juu zaidi ya wastani huo ukilinganisha na magari used ya miaka ya nyuma.

Pia aina ya usajili wa plate namba ya gari una athari kubwa kwenye bei. Magari ambayo hayajasajiliwa lakini ushuru wote umelipwa mara nyingi huwa na bei ya juu zaidi, karibu sawa na bei za gari hii showroom Dar es salaam. Magari yenye namba kama Namba E, D, C, B au A huwa bei nafuu, na kadiri herufi inavyoshuka (kwa mfano kutoka E kwenda A) ndivyo bei za magari inavyopungua.

Kabla ya kununua, linganisha bei za magari kadhaa ya Benz hapa GariPesa ili ufahamu uhalisia wa bei sokoni. Hii itakusaidia kufanya mazungumzo ya bei kwa ujasiri na kuzuia kulipa bei kubwa kuliko inavyostahili kwa kiwango cha gari (used au karibu na showroom) unachotaka.

Download GariPesa App

Soko Kuu la Magari Tanzania.