Filters

Results Clear all

Mkoa

Mkoa

Make

Make

Model

Model

Condition

Condition

Body-Type

Body-Type

Drive Type

Drive Type

Transmission

Transmission

Fuel Type

Fuel Type

Cylinders

Cylinders

Color

Color

Doors

Doors
Clear all
More filters
10024 Results
Sort by:
Panga Kwa: Pendekezwa
BMW X3 For Sale In Dar es Salaam Used Tanzania Namba D
Gari imetunzwa vizuri sana. Ikifanyiwa service na watalaam w...
TSh 17,500,000
2007 • Namba D • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Toyota Noah (2000)
Toyota noah ya mwaka 2000, yenye injini ya petroli ya 1990cc...
TSh 14,900,000
2000 • Namba D • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Toyota IST (2005)
Toyota ist inauzwa mbeya mjini. Ina rangi ya silver, milango...
TSh 6,800,000
2005 • Namba D • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Toyota Crown (2006)
Toyota crown athlete ya mwaka 2006, yenye injini ya 2500cc v...
TSh 15,900,000
2006 • Namba D • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Toyota Corolla (1999)
Toyota corolla 111 ya mwaka 1999, rangi nyeupe, ina injini n...
TSh 3,500,000
1999 • Namba A • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Toyota Ractis (2006)
Toyota ractis ya mwaka 2006, rangi nyeusi, inauzwa kwa tzs 1...
Contact for a price
Dar es Salaam
Toyota IST (2005)
Toyota ist ya mwaka 2005, rangi ya silver, inauzwa mbeya kwa...
TSh 6,800,000
2005 • Namba D • Petrol
Mbeya
Automatic
Toyota Kluger (2005)
Toyota kluger ya mwaka 2005, rangi nyeusi, inauzwa kwa tzs 1...
TSh 13,500,000
2005 • Namba D • Petrol
Morogoro
Automatic
Nissan Dualis (2008)
Nissan dualis ya mwaka 2008 inauzwa dar es salaam. Gari hili...
TSh 10,500,000
2008 • Namba D • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Toyota Altezza (2002)
Toyota altezza ya mwaka 2002, yenye rangi nyeupe na milango ...
TSh 8,500,000
2002 • Namba E • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Toyota IST (2005)
Toyota ist ya mwaka 2005, injini ya 1290cc, na transmission ...
TSh 9,800,000
2005 • Namba D • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Toyota Vellfire (2010)
Toyota vellfire ya mwaka 2010, yenye injini ya petroli ya 23...
TSh 23,500,000
2010 • Not-Reg • Petrol
Dar es Salaam
Automatic

Kununua Gari

Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.

Kuuza Gari

Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!

Bei Za Magari Tanzania

Kwa mtazamo wa Tanzania nzima, magari yaliyopo sokoni huanzia takribani TSh 2.9M kwa magari madogo ya matumizi ya kila siku na kufika hadi TSh 435M kwa SUV kubwa, 4x4 na magari ya kifahari ya kiwango cha showroom.

Magari tunayoyaona sokoni huwa ya miaka mbalimbali, kuanzia takribani 1993 hadi 2025, na wastani wa bei ukiwa TSh 28M. Magari used ya miaka ya nyuma huwa nafuu zaidi, wakati magari ya miaka mipya, yenye mileage ndogo na yaliyokaribia ubora wa magari ya showroom bei huwa juu zaidi.

Pia aina ya usajili wa plate namba ya gari una athari kubwa kwenye bei. Magari ambayo hayajasajiliwa lakini ushuru wote umelipwa mara nyingi huwa na bei ya juu zaidi, karibu sawa na bei za gari hii showroom Dar es salaam. Magari yenye namba kama Namba E, D, C, B au A huwa bei nafuu, na kadiri herufi inavyoshuka (kwa mfano kutoka E kwenda A) ndivyo bei za magari inavyopungua.

Badala ya kutegemea showroom moja au maelezo ya muuzaji mmoja pekee, tumia GariPesa kulinganisha magari used na magari yaliyo karibu na kiwango cha showroom kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania, ili ufanye maamuzi ya bei kwa ujasiri zaidi.

Download GariPesa App

Soko Kuu la Magari Tanzania.