Filters

Results Clear all

Mkoa

Mkoa

Make

Make

Model

Model

Condition

Condition

Body-Type

Body-Type

Drive Type

Drive Type

Transmission

Transmission

Fuel Type

Fuel Type

Cylinders

Cylinders

Color

Color

Doors

Doors
Clear all
More filters
671 Results
Sort by:
Panga Kwa: Pendekezwa
Suzuki Carry (2005)
Suzuki carry pickup nyeupe ya mwaka 2005, yenye injini ya 66...
TSh 3,800,000
2005 • Namba D • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Suzuki Grand Vitara (2008)
Suzuki grand vitara ya mwaka 2008, rangi ya silver, ikiwa na...
TSh 5,900,000
2008 • Not-Reg • Petrol
Dar es Salaam
Manual
Suzuki Escudo (1996)
Suzuki escudo ya mwaka 1996, yenye milango 3 na rangi ya kij...
TSh 5,800,000
1996 • Namba A • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Suzuki Swift (2004)
Suzuki swift ya mwaka takriban 2004, yenye injini ya 1290cc,...
TSh 4,700,000
2004 • Namba C • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Suzuki Swift (2003)
Suzuki swift ya mwaka 2003 inauzwa ikiwa na injini ya 1290cc...
TSh 4,700,000
2003 • Namba C • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Suzuki Swift (2003)
Suzuki swift ya mwaka 2003 inauzwa dar es salaam. Ina injini...
TSh 2,700,000
2003 • Namba B • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Suzuki Alto (2002)
Suzuki alto ya mwaka 2002, yenye rangi ya dhahabu na namba y...
TSh 2,800,000
2002 • Namba C • Petrol
Dar es Salaam
Suzuki Carry (2000)
Suzuki carry pickup ya mwaka 2000, yenye injini ya 990cc na ...
TSh 5,500,000
2000 • Namba D • Petrol
Dar es Salaam
Manual
Suzuki Escudo (1995)
Suzuki escudo ya mwaka 1995, yenye milango 5 na rangi nyeusi...
TSh 6,800,000
1995 • Namba B • Petrol
Dar es Salaam
Manual
Suzuki Swift (2004)
Suzuki swift ya mwaka 2004 inauzwa dar es salaam. Ina injini...
TSh 2,700,000
2004 • Namba B • Petrol
Dar es Salaam
Suzuki Swift (2009)
Suzuki swift ya mwaka 2009, rangi ya silver, inauzwa kwa 13....
TSh 13,800,000
2009 • Namba E • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Suzuki Carry (2000)
Suzuki carry pickup ya mwaka 2000, rangi nyeupe, inauzwa kwa...
TSh 6,000,000
2000 • Namba D • Petrol
Dar es Salaam
Manual

Kununua Gari

Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.

Kuuza Gari

Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!

Bei Ya Magari Ya Suzuki Tanzania

Bei za magari ya Suzuki nchini Tanzania hasa jijini Dar es salaam huanzia takribani TSh 1.3M kwa magari madogo ya matumizi ya kila siku na kufika hadi karibu TSh 75M kwa SUV kubwa, 4x4 na magari ya kifahari yaliyotoka showroom.

Kwenye matangazo yetu utaona mchanganyiko wa miaka tofauti ya Suzuki, kutoka takribani 1990 hadi 2023. Kwa ujumla, wastani wa bei za magari haya huwa karibu TSh 8.8M, lakini magari mapya yenye specs nzuri, mileage ndogo, usajili mpya na historia nzuri ya matengenezo yanaweza kuwa juu zaidi ya wastani huo ukilinganisha na magari used ya miaka ya nyuma.

Pia aina ya usajili wa plate namba ya gari una athari kubwa kwenye bei. Magari ambayo hayajasajiliwa lakini ushuru wote umelipwa mara nyingi huwa na bei ya juu zaidi, karibu sawa na bei za gari hii showroom Dar es salaam. Magari yenye namba kama Namba E, D, C, B au A huwa bei nafuu, na kadiri herufi inavyoshuka (kwa mfano kutoka E kwenda A) ndivyo bei za magari inavyopungua.

Kabla ya kununua, linganisha bei za magari kadhaa ya Suzuki hapa GariPesa ili ufahamu uhalisia wa bei sokoni. Hii itakusaidia kufanya mazungumzo ya bei kwa ujasiri na kuzuia kulipa bei kubwa kuliko inavyostahili kwa kiwango cha gari (used au karibu na showroom) unachotaka.

Download GariPesa App

Soko Kuu la Magari.