Filters

Results Clear all

Mkoa

Mkoa

Make

Make

Model

Model

Condition

Condition

Body-Type

Body-Type

Drive Type

Drive Type

Transmission

Transmission

Fuel Type

Fuel Type

Cylinders

Cylinders

Color

Color

Doors

Doors
Clear all
More filters
291 Results
Sort by:
Panga Kwa: Pendekezwa
Suzuki Escudo (2008)
Suzuki escudo ya mwaka 2008, rangi nyeupe, inauzwa kwa tzs 3...
TSh 35,500,000
2008 • Not-Reg • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Suzuki Swift (2005)
Suzuki swift ya mwaka 2005, yenye injini ya 1390cc na transm...
TSh 6,800,000
2005 • Namba C • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Suzuki Escudo (1995)
Suzuki escudo ya mwaka 1995, yenye milango 5 na injini ya si...
TSh 5,500,000
1995 • Namba A • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Suzuki Wagon R (1998)
Suzuki wagon r ya mwaka 1998, yenye injini ya 650cc na trans...
TSh 3,990,000
1998 • Namba E • Petrol
Dar es Salaam
Manual
Suzuki Swift (2013)
Suzuki swift ya mwaka 2013 inauzwa, ikiwa na injini ya 1240c...
TSh 15,000,000
2013 • Not-Reg • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Suzuki Swift (2005)
Suzuki swift ya mwaka 2005, yenye injini ya 1390cc, rangi ya...
TSh 6,800,000
2005 • Namba C • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Suzuki Wagon R (1997)
Suzuki wagon r ya mwaka 1997, rangi ya silver, inauzwa kwa 3...
TSh 3,500,000
1997 • Namba E • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Suzuki Swift (2003)
Suzuki swift ya mwaka 2003 inauzwa, ikiwa na injini ya 1290c...
TSh 5,400,000
2003 • Namba C • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Suzuki Escudo (2008)
Suzuki escudo ya mwaka 2008, rangi nyeupe, inauzwa kwa 35.5m...
TSh 35,500,000
2008 • Not-Reg • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Suzuki Swift (2005)
Suzuki swift ya mwaka 2005, injini ya 1390cc, inauzwa kwa mi...
TSh 6,800,000
2005 • Namba C • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Suzuki Swift (2008)
Suzuki swift ya mwaka 2008, rangi ya kahawia, injini ya cc 1...
TSh 6,800,000
2008 • Namba D • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Suzuki Swift (2005)
Suzuki swift ya mwaka 2005, yenye injini ya 1390cc, inauzwa ...
TSh 6,800,000
2005 • Namba C • Petrol
Dar es Salaam
Automatic

Kununua Gari

Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.

Kuuza Gari

Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!

Bei Ya Magari Ya Suzuki Tanzania

Bei za magari ya Suzuki nchini Tanzania hasa jijini Dar es salaam huanzia takribani TSh 1.9M kwa magari madogo ya matumizi ya kila siku na kufika hadi karibu TSh 105M kwa SUV kubwa, 4x4 na magari ya kifahari yaliyotoka showroom.

Kwenye matangazo yetu utaona mchanganyiko wa miaka tofauti ya Suzuki, kutoka takribani 1988 hadi 2026. Kwa ujumla, wastani wa bei za magari haya huwa karibu TSh 8.7M, lakini magari mapya yenye specs nzuri, mileage ndogo, usajili mpya na historia nzuri ya matengenezo yanaweza kuwa juu zaidi ya wastani huo ukilinganisha na magari used ya miaka ya nyuma.

Pia aina ya usajili wa plate namba ya gari una athari kubwa kwenye bei. Magari ambayo hayajasajiliwa lakini ushuru wote umelipwa mara nyingi huwa na bei ya juu zaidi, karibu sawa na bei za gari hii showroom Dar es salaam. Magari yenye namba kama Namba E, D, C, B au A huwa bei nafuu, na kadiri herufi inavyoshuka (kwa mfano kutoka E kwenda A) ndivyo bei za magari inavyopungua.

Kabla ya kununua, linganisha bei za magari kadhaa ya Suzuki hapa GariPesa ili ufahamu uhalisia wa bei sokoni. Hii itakusaidia kufanya mazungumzo ya bei kwa ujasiri na kuzuia kulipa bei kubwa kuliko inavyostahili kwa kiwango cha gari (used au karibu na showroom) unachotaka.

Download GariPesa App

Soko Kuu la Magari.