l1bs3zu4f351t1hv1w71vkdcamgswr

Filters

Results Clear all

Mkoa

Mkoa

Make

Make

Model

Model

Condition

Condition

Body-Type

Body-Type

Drive Type

Drive Type

Transmission

Transmission

Fuel Type

Fuel Type

Cylinders

Cylinders

Color

Color

Doors

Doors
Clear all
More filters
16 Results
Sort by:
Panga Kwa: Pendekezwa
Suzuki Swift (2010)
Suzuki swift ya mwaka 2010 inauzwa kwa tsh 9,300,000. Gari h...
TSh 9,300,000
2010 • Namba E • Petrol
Dar es Salaam
Suzuki Swift (2010)
Suzuki swift ya mwaka 2010 inauzwa kwa tsh 9,300,000. Gari h...
TSh 9,300,000
2010 • Namba E • Petrol
Dar es Salaam
Suzuki Swift (2002)
Suzuki swift ya mwaka 2002, rangi ya silver, inauzwa kwa tzs...
TSh 4,500,000
2002 • Namba B • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Suzuki Swift (2003)
Suzuki swift ya mwaka 2003, rangi nyeusi, inauzwa kwa tzs 3....
TSh 3,200,000
2003 • Namba C • Petrol
Dar es Salaam
Suzuki Swift (2003)
Suzuki swift ya mwaka 2003, rangi nyeusi, inauzwa goba. Ina ...
TSh 3,800,000
2003 • Namba C • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Suzuki Swift (2007)
Suzuki swift ya mwaka 2007, yenye injini ya 1300cc, inapatik...
TSh 5,900,000
2007 • Namba D • Petrol
Dar es Salaam
Suzuki Swift (2010)
Suzuki swift ya mwaka 2010, rangi nyeupe, inauzwa kwa tzs 9,...
TSh 9,800,000
2010 • Namba E • Petrol
Dar es Salaam
Suzuki Swift (2005)
Suzuki swift ya mwaka 2005 inauzwa kwa milioni 4. Gari hili ...
TSh 4,000,000
2005 • Namba C • Petrol
Iringa
Automatic
Suzuki Swift (2004)
Suzuki swift ya mwaka 2004, yenye injini ya 1290cc na milang...
TSh 4,800,000
2004 • Namba C • Petrol
Dar es Salaam
Suzuki Swift (2003)
Suzuki swift ya mwaka 2003 inauzwa, ina injini ya 1320cc pet...
TSh 4,000,000
2003 • Namba B • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Suzuki Swift (2005)
Suzuki swift ya mwaka 2005 inauzwa ikiwa na injini ya 1320cc...
TSh 8,800,000
2005 • Namba D • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Suzuki Swift (2005)
Suzuki swift ya mwaka 2005 inauzwa ikiwa na injini ya 1320cc...
TSh 8,800,000
2005 • Namba D • Petrol
Dar es Salaam
Automatic

Kununua Gari

Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi za kisasa.

Kuuza Gari

Badili gari kuwa pesa! 📉💰 Iwe unataka kuuza gari au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na uone gari lako likigeuka kuwa pesa!

Bei Ya Suzuki Swift Tanzania

Bei ya Suzuki Swift Tanzania hasa jijini Dar es salaam huwa kati ya TSh 3.2M hadi TSh 9.8M, kutegemeana mwaka wa kutengenezwa, hali ya gari, usajili, kama gari ni used au jipya la showroom na mileage ya gari.

Magari mengi ya Suzuki Swift Tanzania huwa ya kati ya mwaka 2002–2010, na bei ya wastani ikiwa ni TSh 6.2M. Hata hivyo gari za miaka ya mbele, mileage ndogo, Usajili Mpya au full option zinaweza kuwa juu zaidi ya wastani huu ukilinganisha na magari used ya miaka ya nyuma.

Pia aina ya usajili wa plate namba ya gari una athari kubwa kwenye bei. Magari ambayo hayajasajiliwa lakini ushuru wote umelipwa mara nyingi huwa na bei ya juu zaidi, karibu sawa na bei za gari hii showroom Dar es salaam. Magari yenye namba kama Namba E, D, C, B au A huwa bei nafuu, na kadiri herufi inavyoshuka (kwa mfano kutoka E kwenda A) ndivyo bei za magari inavyopungua.

Ili kupata bei nzuri, linganisha matangazo kadhaa ya Suzuki Swift hapa GariPesa, angalia mwaka, mileage, picha za ndani na nje, pamoja na maelezo ya mmiliki. Hatua hii itakusaidia kujua kama bei uliyopewa iko ndani ya viwango vya sokoni kwa aina ya gari unayotaka au la.

Download GariPesa App

Nunua na uza magari kirahisi kupitia simu yako.