Filters

Results Clear all

Mkoa

Mkoa

Make

Make

Model

Model

Condition

Condition

Body-Type

Body-Type

Drive Type

Drive Type

Transmission

Transmission

Fuel Type

Fuel Type

Cylinders

Cylinders

Color

Color

Doors

Doors
Clear all
More filters
121 Results
Sort by:
Panga Kwa: Pendekezwa
Suzuki Swift (2008)
Suzuki swift ya mwaka 2008 inauzwa. Ina injini ya 1320cc, au...
TSh 15,800,000
2008 • Namba E • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Suzuki Swift (2004)
Suzuki swift ya mwaka 2004, rangi ya silver, inauzwa kwa shi...
TSh 4,500,000
2004 • Namba C • Petrol
Njombe
Automatic
Suzuki Swift (2008)
Suzuki swift ya mwaka 2008 inauzwa ikiwa na injini ya 1320cc...
TSh 15,800,000
2008 • Namba E • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Suzuki Swift (2008)
Suzuki swift ya mwaka 2008 inauzwa kwa bei ya tzs 15.8 milio...
TSh 15,800,000
2008 • Namba E • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Suzuki Swift (2008)
Suzuki swift ya mwaka 2008, rangi ya silver, inauzwa dar es ...
TSh 8,800,000
2008 • Namba D • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Suzuki Swift (2008)
Suzuki swift ya mwaka 2008, yenye injini ya 1320cc na transm...
TSh 15,800,000
2008 • Namba E • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Suzuki Swift (2008)
Suzuki swift ya mfumo mpya, yenye injini ya cc 1300 na silin...
TSh 15,800,000
2008 • Not-Reg • Petrol
Dar es Salaam
Suzuki Swift (2008)
Suzuki swift ya mwaka 2008, rangi ya silver, inauzwa dar es ...
TSh 8,800,000
2008 • Namba D • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Suzuki Swift (2003)
Suzuki swift ya mwaka 2003, rangi nyeupe, inauzwa kwa milion...
TSh 2,500,000
2003 • Namba C • Petrol
Dar es Salaam
Suzuki Swift (2008)
Suzuki swift ya mwaka 2008 inauzwa. Gari hili la rangi ya si...
TSh 8,400,000
2008 • Namba D • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Suzuki Swift (2008)
Suzuki swift ya mwaka 2008 inauzwa. Ina injini ya 1320cc, au...
TSh 15,800,000
2008 • Namba E • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Suzuki Swift (2003)
Suzuki swift ya mwaka 2003, yenye injini ya cc 1400 na milan...
TSh 2,700,000
2003 • Namba C • Petrol
Dar es Salaam

Kununua Gari

Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.

Kuuza Gari

Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!

Bei Ya Suzuki Swift Tanzania

Bei ya Suzuki Swift Tanzania hasa jijini Dar es salaam huwa kati ya TSh 2M hadi TSh 16.8M, kutegemeana mwaka wa kutengenezwa, hali ya gari, usajili, kama gari ni used au jipya la showroom na mileage ya gari.

Magari mengi ya Suzuki Swift Tanzania huwa ya kati ya mwaka 2002–2013, na bei ya wastani ikiwa ni TSh 6M. Hata hivyo gari za miaka ya mbele, mileage ndogo, Usajili Mpya au full option zinaweza kuwa juu zaidi ya wastani huu ukilinganisha na magari used ya miaka ya nyuma.

Pia aina ya usajili wa plate namba ya gari una athari kubwa kwenye bei. Magari ambayo hayajasajiliwa lakini ushuru wote umelipwa mara nyingi huwa na bei ya juu zaidi, karibu sawa na bei za gari hii showroom Dar es salaam. Magari yenye namba kama Namba E, D, C, B au A huwa bei nafuu, na kadiri herufi inavyoshuka (kwa mfano kutoka E kwenda A) ndivyo bei za magari inavyopungua.

Ili kupata bei nzuri, linganisha matangazo kadhaa ya Suzuki Swift hapa GariPesa, angalia mwaka, mileage, picha za ndani na nje, pamoja na maelezo ya mmiliki. Hatua hii itakusaidia kujua kama bei uliyopewa iko ndani ya viwango vya sokoni kwa aina ya gari unayotaka au la.

Download GariPesa App

Soko Kuu la Magari.