Filters

Results Clear all

Mkoa

Mkoa

Make

Make

Model

Model

Condition

Condition

Body-Type

Body-Type

Drive Type

Drive Type

Transmission

Transmission

Fuel Type

Fuel Type

Cylinders

Cylinders

Color

Color

Doors

Doors
Clear all
More filters
1329 Results
Sort by:
Panga Kwa: Pendekezwa
Mitsubishi RVR (2011)
Mitsubishi rvr ya mwaka 2011 inauzwa. Ina injini ya 1780cc, ...
TSh 18,800,000
2011 • Namba E • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Mitsubishi RVR (2011)
Mitsubishi rvr ya mwaka 2011 inauzwa. Ina injini ya 1780cc, ...
TSh 18,800,000
2011 • Namba E • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Mitsubishi Outlander (2007)
Mitsubishi outlander ya mwaka 2007, yenye injini ya 2360cc n...
TSh 13,800,000
2007 • Namba D • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Mitsubishi RVR (2011)
Mitsubishi rvr ya mwaka 2011, rangi ya kijivu, inauzwa kwa s...
TSh 18,800,000
2011 • Namba E • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Mitsubishi Outlander (2007)
Mitsubishi outlander ya mwaka 2007, rangi nyeusi, injini ya ...
TSh 17,800,000
2007 • Namba E • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Mitsubishi Canter (2015)
Mitsubishi canter inauzwa, ina injini ya 4d34 turbo na diffu...
TSh 57,000,000
2015 • Namba D • Diesel
Singida
Manual
Mitsubishi Outlander (2015)
Mitsubishi outlander ya mwaka 2015 inauzwa dar es salaam. In...
TSh 29,800,000
2015 • Namba E • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Mitsubishi Canter (2000)
Mitsubishi canter ya mwaka 2000, yenye injini ya diesel 4d35...
TSh 54,000,000
2000 • Namba D • Diesel
Singida
Manual
Mitsubishi Tipper (2000)
Fuso tipper ya mwaka 2000, yenye injini ya diesel 6-cylinder...
TSh 45,000,000
2000 • Namba C • Diesel
Dar es Salaam
Manual
Mitsubishi RVR (2012)
Mitsubishi rvr ya mwaka 2012 inauzwa. Gari hili la rangi ya ...
TSh 19,000,000
2012 • Namba E • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Mitsubishi Canter (2003)
Mitsubishi canter dyg inauzwa kwa tzs 53,000,000. Ina injini...
TSh 53,000,000
2003 • Namba D • Diesel
Dar es Salaam
Manual
Mitsubishi Fuso (2005)
Fuso tandamu mayai ya mwaka 2005 inauzwa kwa shilingi milion...
TSh 87,000,000
2005 • Namba D • Diesel
Mbeya
Manual

Kununua Gari

Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.

Kuuza Gari

Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!

Bei Ya Magari Ya Mitsubishi Tanzania

Bei za magari ya Mitsubishi nchini Tanzania hasa jijini Dar es salaam huanzia takribani TSh 1.8M kwa magari madogo ya matumizi ya kila siku na kufika hadi karibu TSh 160M kwa SUV kubwa, 4x4 na magari ya kifahari yaliyotoka showroom.

Kwenye matangazo yetu utaona mchanganyiko wa miaka tofauti ya Mitsubishi, kutoka takribani 1987 hadi 2021. Kwa ujumla, wastani wa bei za magari haya huwa karibu TSh 35.6M, lakini magari mapya yenye specs nzuri, mileage ndogo, usajili mpya na historia nzuri ya matengenezo yanaweza kuwa juu zaidi ya wastani huo ukilinganisha na magari used ya miaka ya nyuma.

Pia aina ya usajili wa plate namba ya gari una athari kubwa kwenye bei. Magari ambayo hayajasajiliwa lakini ushuru wote umelipwa mara nyingi huwa na bei ya juu zaidi, karibu sawa na bei za gari hii showroom Dar es salaam. Magari yenye namba kama Namba E, D, C, B au A huwa bei nafuu, na kadiri herufi inavyoshuka (kwa mfano kutoka E kwenda A) ndivyo bei za magari inavyopungua.

Kabla ya kununua, linganisha bei za magari kadhaa ya Mitsubishi hapa GariPesa ili ufahamu uhalisia wa bei sokoni. Hii itakusaidia kufanya mazungumzo ya bei kwa ujasiri na kuzuia kulipa bei kubwa kuliko inavyostahili kwa kiwango cha gari (used au karibu na showroom) unachotaka.

Download GariPesa App

Soko Kuu la Magari.