Filters

Results Clear all

Mkoa

Mkoa

Make

Make

Model

Model

Condition

Condition

Body-Type

Body-Type

Drive Type

Drive Type

Transmission

Transmission

Fuel Type

Fuel Type

Cylinders

Cylinders

Color

Color

Doors

Doors
Clear all
More filters
676 Results
Sort by:
Panga Kwa: Pendekezwa
Ford Ranger (2010)
Ford ranger pickup ya mwaka 2010, yenye injini ya wl diesel ...
TSh 20,000,000
2010 • Namba B • Diesel
Dar es Salaam
Manual
Toyota Hilux (2008)
Toyota hilux vigo ya mwaka 2008 inauzwa. Ina injini ya 2kd (...
TSh 58,000,000
2008 • Namba E • Diesel
Dar es Salaam
Toyota Hilux (2011)
Toyota hilux vigo ya mwaka 2011, rangi nyeupe, inatumia inji...
TSh 58,000,000
2011 • Namba E • Diesel
Dar es Salaam
Manual
Toyota Hilux (1997)
Toyota hilux 2.8 ya mwaka 1997, rangi nyeupe, inauzwa moshi,...
TSh 19,500,000
1997 • Namba C • Diesel
Arusha
Manual
Toyota Hilux (2015)
Toyota hilux viggo ya mwaka 2015 inauzwa. Ina injini ya 2490...
TSh 45,800,000
2015 • Namba D • Diesel
Dar es Salaam
Automatic
Toyota Hilux (2008)
Toyota hilux d4d pickup ya mwaka 2008, yenye injini ya diese...
TSh 27,800,000
2008 • Not-Reg • Diesel
Dar es Salaam
Manual
Toyota Hilux (2021)
Toyota hilux ya mwaka 2021, rangi ya kijivu, inauzwa kwa shi...
TSh 78,000,000
2021 • Namba E • Diesel
Dar es Salaam
Manual
Toyota Hilux (2010)
Toyota hilux double cab ya mwaka 2010, rangi nyeupe, inauzwa...
TSh 20,500,000
2010 • Namba B • Diesel
Dar es Salaam
Manual
Toyota Hilux (2013)
Toyota hilux vigo ya mwaka 2013 inauzwa. Ina injini ya diese...
TSh 58,000,000
2013 • Not-Reg • Diesel
Dar es Salaam
Manual
Toyota Hilux (2019)
Toyota hilux ya mwaka 2019 inauzwa, ikiwa na injini ya dizel...
TSh 80,000,000
2019 • Namba E • Diesel
Dar es Salaam
Toyota Hilux (2023)
Toyota hilux double cabin ya mwaka 2023, injini ya 2400cc di...
TSh 145,000,000
2023 • Not-Reg • Diesel
Dar es Salaam
Automatic
Toyota Hilux (2023)
Toyota hilux double cabin gr sport edition ya mwaka 2023 ina...
TSh 145,000,000
2023 • Not-Reg • Diesel
Dar es Salaam
Automatic

Kununua Gari

Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.

Kuuza Gari

Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!

Bei Za Magari Tanzania

Kwa mtazamo wa Tanzania nzima, magari yaliyopo sokoni huanzia takribani TSh 2.6M kwa magari madogo ya matumizi ya kila siku na kufika hadi TSh 435M kwa SUV kubwa, 4x4 na magari ya kifahari ya kiwango cha showroom.

Magari tunayoyaona sokoni huwa ya miaka mbalimbali, kuanzia takribani 1990 hadi 2024, na wastani wa bei ukiwa TSh 34M. Magari used ya miaka ya nyuma huwa nafuu zaidi, wakati magari ya miaka mipya, yenye mileage ndogo na yaliyokaribia ubora wa magari ya showroom bei huwa juu zaidi.

Pia aina ya usajili wa plate namba ya gari una athari kubwa kwenye bei. Magari ambayo hayajasajiliwa lakini ushuru wote umelipwa mara nyingi huwa na bei ya juu zaidi, karibu sawa na bei za gari hii showroom Dar es salaam. Magari yenye namba kama Namba E, D, C, B au A huwa bei nafuu, na kadiri herufi inavyoshuka (kwa mfano kutoka E kwenda A) ndivyo bei za magari inavyopungua.

Badala ya kutegemea showroom moja au maelezo ya muuzaji mmoja pekee, tumia GariPesa kulinganisha magari used na magari yaliyo karibu na kiwango cha showroom kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania, ili ufanye maamuzi ya bei kwa ujasiri zaidi.

Download GariPesa App

Soko Kuu la Magari.