Filters

Results Clear all

Mkoa

Mkoa

Make

Make

Model

Model

Condition

Condition

Body-Type

Body-Type

Drive Type

Drive Type

Transmission

Transmission

Fuel Type

Fuel Type

Cylinders

Cylinders

Color

Color

Doors

Doors
Clear all
More filters
251 Results
Toyota IST For Sale In Dar es salaam Used Tanzania Namba D
- gari nimetunza vizuri - ac iko vizuri sana - tyre ziko viz...
TSh 12,500,000
2007 • Namba D • Petrol
Dar es salaam
Automatic
Toyota IST For Sale In Arusha Used Nje Ya Nchi Unregistered
Ist inauzwa ipo arusha unregisted kali sana
TSh 16,000,000
2005 • Not-Reg • Petrol
Arusha
Automatic
Toyota IST For Sale In Arusha Used Tanzania Unregistered
Si ya kukosa.
TSh 20,000,000
2007 • Not-Reg • Petrol
Arusha
Automatic
Toyota Passo For Sale In Dar es salaam Used Tanzania Namba D
Passo 2007 piston 4 mint condition underseat jbl, reverse ca...
TSh 7,000,000
2007 • Namba D • Petrol
Dar es salaam
Automatic
Mazda Demio New Model For Sale In Dar es salaam Used Nje Ya Nchi Unregistered
Mazda demio 2015 1490cc diesel engine automatic milioni 24 +...
TSh 24,000,000
2015 • Not-Reg • Petrol
Dar es salaam
Automatic
Toyota Passo For Sale In Mwanza Used Tanzania Unregistered
Passo nyeupe kali sana. For sale ipo mwanza. Usajili bure
TSh 14,000,000
2005 • Not-Reg • Petrol
Mwanza
Automatic
Toyota Passo For Sale In Dar es salaam Used Tanzania Unregistered
Unaweza kulipia kidogo kidogo kumiliki gari hii full ac full...
TSh 14,000,000
2005 • Not-Reg • Petrol
Dar es salaam
Automatic
Toyota Ractis For Sale In Dar es salaam Used Tanzania Namba D
Year || 2006///toyota || ractis ///✅ ●asking price//bei :: m...
TSh 9,500,000
2006 • Namba D • Petrol
Dar es salaam
Automatic
Mazda Verisa New Model For Sale In Dar es salaam Used Nje Ya Nchi Unregistered
Mwaka 2011 bei 18,000,000+usajilii location mikochenii 0785-...
TSh 18,000,000
2011 • Not-Reg • Petrol
Dar es salaam
Automatic
Mazda Verisa For Sale In Dar es salaam Used Nje Ya Nchi Unregistered
Mazda verisa kila moja mazda verisa chases bei 15.5m net 📍ds...
TSh 15,500,000
2010 • Not-Reg • Petrol
Dar es salaam
Automatic
Toyota IST For Sale In Dar es salaam Used Tanzania Namba D
Toyota ist...#dmx 0789304632 || calls 0719005505 || whatsapp...
TSh 9,800,000
2006 • Namba D • Petrol
Dar es salaam
Automatic
Toyota IST For Sale In Arusha Used Tanzania Namba D
Toyota ist nzuri sana bei 12m ipo arusha nipigie 0757881775
TSh 12,000,000
2004 • Namba D • Petrol
Arusha
Automatic

Bei Za Magari Tanzania

Kwa mtazamo wa Tanzania nzima, magari yaliyopo sokoni huanzia takribani TSh 2.7M kwa magari madogo ya matumizi ya kila siku na kufika hadi TSh 350M kwa SUV kubwa, 4x4 na magari ya kifahari ya kiwango cha showroom.

Magari tunayoyaona sokoni huwa ya miaka mbalimbali, kuanzia takribani 1994 hadi 2026, na wastani wa bei ukiwa TSh 39.6M. Magari used ya miaka ya nyuma huwa nafuu zaidi, wakati magari ya miaka mipya, yenye mileage ndogo na yaliyokaribia ubora wa magari ya showroom bei huwa juu zaidi.

Pia aina ya usajili wa plate namba ya gari una athari kubwa kwenye bei. Magari ambayo hayajasajiliwa lakini ushuru wote umelipwa mara nyingi huwa na bei ya juu zaidi, karibu sawa na bei za gari hii showroom Dar es salaam. Magari yenye namba kama Namba E, D, C, B au A huwa bei nafuu, na kadiri herufi inavyoshuka (kwa mfano kutoka E kwenda A) ndivyo bei za magari inavyopungua.

Badala ya kutegemea showroom moja au maelezo ya muuzaji mmoja pekee, tumia GariPesa kulinganisha magari used na magari yaliyo karibu na kiwango cha showroom kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania, ili ufanye maamuzi ya bei kwa ujasiri zaidi.

Magari Yanayouzwa Tanzania. Tembelea orodha ya magari kutoka kwa wauzaji mbalimbali wenye bei na viwango tofauti, yote yakiwa yamekusanywa kwenye GariPesa kwa wanunuzi wa Tanzania. Tumia vichujio vilivyo juu kuchagua make, model, mwaka na bajeti inayokufaa.

Maswali Yaulizwayo Tanzania Sana Kuhusu Kununua Gari Kupitia GariPesa (FAQ)

Je GariPesa ni jukwaa gani na linasaidiaje kwenye kununua au kuuza gari?

GariPesa ni soko la mtandaoni la magari linalokuunganisha moja kwa moja na wauzaji na wanunuzi nchini Tanzania. Unaweza kutafuta magari kwa Make, Model, Mkoa, bei na vigezo vingine, kisha kuwasiliana na muuzaji kupitia simu au WhatsApp.

Je ninatakiwa kufanya nini kabla ya kuamua kununua gari lililotangazwa kwenye GariPesa?

Kabla ya kuamua kununua, hakikisha unakagua gari kwa macho, kufanyiwa ukaguzi na fundi, kuangalia historia ya matengenezo na nyaraka kama kadi ya gari na mkataba sahihi. Epuka kutuma pesa bila kumwona muuzaji ana kwa ana kwenye eneo salama.

Je GariPesa inahusika kwenye miamala ya fedha kati ya mnunuzi na muuzaji?

Kwa sasa GariPesa ni jukwaa la matangazo na halishiki fedha kwa niaba ya wanunuzi au wauzaji. Malipo hufanyika moja kwa moja kati ya pande mbili. Tunashauri kila upande kufuata taratibu za usalama, mikataba iliyoandikwa na kukutana maeneo salama.

Je ninawezaje kupunguza hatari ya udanganyifu (scam) ninapotumia majukwaa ya magari mtandaoni?

Epuka ofa ambazo zinaonekana nzuri sana kuliko kawaida, usitume pesa bila kuliona gari na kumbukumbu kamili, na usikubali kushawishiwa kukutana maeneo hatarishi. Tumia mawasiliano rasmi na uhakikishe jina kwenye malipo linaendana na maelezo ya muuzaji.

Je ninaweza kupata magari yanayolingana na bajeti yangu kwa urahisi kwenye GariPesa?

Ndiyo, unaweza kutumia vichujio kama bei ya chini na ya juu, mwaka wa uzalishaji, hali ya gari na Mkoa ili kuona magari yanayolingana na bajeti na mahitaji yako. Unaweza pia kulinganisha matangazo kadhaa ya modeli moja kabla ya kuamua.

Download GariPesa App

Nunua na uza magari kirahisi zaidi kupitia simu yako.