Filters

Results Clear all

Mkoa

Mkoa

Make

Make

Model

Model

Condition

Condition

Body-Type

Body-Type

Drive Type

Drive Type

Transmission

Transmission

Fuel Type

Fuel Type

Cylinders

Cylinders

Color

Color

Doors

Doors
Clear all
More filters
233 Results
Toyota IST For Sale In Arusha Used Tanzania Unregistered
Si ya kukosa.
TSh 20,000,000
2007 • Not-Reg • Petrol
Arusha
Automatic
Toyota IST For Sale In Arusha Used Nje Ya Nchi Unregistered
Ist inauzwa ipo arusha unregisted kali sana
TSh 16,000,000
2005 • Not-Reg • Petrol
Arusha
Automatic
Toyota Passo For Sale In Mwanza Used Tanzania Namba E
Passo nyekundu kali sana
TSh 8,000,000
2005 • Namba E • Petrol
Mwanza
Automatic
Toyota Passo For Sale In Mwanza Used Tanzania Unregistered
Passo nyeupe kali sana. For sale ipo mwanza. Usajili bure
TSh 14,000,000
2005 • Not-Reg • Petrol
Mwanza
Automatic
Mazda Verisa For Sale In Dar es salaam Used Nje Ya Nchi Unregistered
Mazda verisa chesis mpya kabisaa _model 2008,cc 1490 ,ful ac...
TSh 16,800,000
2010 • Not-Reg • Petrol
Dar es salaam
Automatic
Toyota Passo For Sale In Dar es salaam Used Tanzania Unregistered
Unaweza kulipia kidogo kidogo kumiliki gari hii full ac full...
TSh 14,000,000
2005 • Not-Reg • Petrol
Dar es salaam
Automatic
Toyota IST For Sale In Dar es salaam Used Tanzania Namba D
Call 0785-323353/ wasap bei: 11,000,000 mil inatoa laki 3 to...
TSh 11,000,000
2005 • Namba D • Petrol
Dar es salaam
Automatic
Mazda Verisa For Sale In Dar es salaam Used Nje Ya Nchi Unregistered
Mazda verisa dc5w year 2005 / 1,500cc / odometer 91,000km / ...
TSh 14,900,000
2005 • Not-Reg • Petrol
Dar es salaam
Automatic
Mazda Verisa For Sale In Mwanza Used Nje Ya Nchi Unregistered
Mazda verisa price : 16,500,000 cc : 1490 mileage : 78,500 u...
TSh 16,500,000
2010 • Not-Reg • Petrol
Mwanza
Automatic
Toyota IST For Sale In Dar es salaam Used Tanzania Namba D
Good condition
TSh 12,800,000
2004 • Namba D • Petrol
Dar es salaam
Automatic
Toyota Passo For Sale In Dar es salaam Used Nje Ya Nchi Unregistered
2010 toyota passo, 990cc, 59765km, grayish purple metallic o...
TSh 16,900,000
2010 • Not-Reg • Petrol
Dar es salaam
Automatic
Subaru Impreza New Model For Sale In Arusha Used Tanzania Namba E
Im owner of this vehicle no accident and no mechanical issue...
TSh 13,900,000
2011 • Namba E • Petrol
Arusha
Automatic

Bei Za Magari Tanzania

Kwa mtazamo wa Tanzania nzima, magari yaliyopo sokoni huanzia takribani TSh 3M kwa magari madogo ya matumizi ya kila siku na kufika hadi TSh 350M kwa SUV kubwa, 4x4 na magari ya kifahari ya kiwango cha showroom.

Magari tunayoyaona sokoni huwa ya miaka mbalimbali, kuanzia takribani 1992 hadi 2025, na wastani wa bei ukiwa TSh 34.9M. Magari used ya miaka ya nyuma huwa nafuu zaidi, wakati magari ya miaka mipya, yenye mileage ndogo na yaliyokaribia ubora wa magari ya showroom bei huwa juu zaidi.

Pia aina ya usajili wa plate namba ya gari una athari kubwa kwenye bei. Magari ambayo hayajasajiliwa lakini ushuru wote umelipwa mara nyingi huwa na bei ya juu zaidi, karibu sawa na bei za gari hii showroom Dar es salaam. Magari yenye namba kama Namba E, D, C, B au A huwa bei nafuu, na kadiri herufi inavyoshuka (kwa mfano kutoka E kwenda A) ndivyo bei za magari inavyopungua.

Badala ya kutegemea showroom moja au maelezo ya muuzaji mmoja pekee, tumia GariPesa kulinganisha magari used na magari yaliyo karibu na kiwango cha showroom kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania, ili ufanye maamuzi ya bei kwa ujasiri zaidi.

Magari Yanayouzwa Tanzania. Tembelea orodha ya magari kutoka kwa wauzaji mbalimbali wenye bei na viwango tofauti, yote yakiwa yamekusanywa kwenye GariPesa kwa wanunuzi wa Tanzania. Tumia vichujio vilivyo juu kuchagua make, model, mwaka na bajeti inayokufaa.

Maswali Yaulizwayo Tanzania Sana Kuhusu Kununua Gari Kupitia GariPesa (FAQ)

Je GariPesa ni jukwaa gani na linasaidiaje kwenye kununua au kuuza gari?

GariPesa ni soko la mtandaoni la magari linalokuunganisha moja kwa moja na wauzaji na wanunuzi nchini Tanzania. Unaweza kutafuta magari kwa Make, Model, Mkoa, bei na vigezo vingine, kisha kuwasiliana na muuzaji kupitia simu au WhatsApp.

Je ninatakiwa kufanya nini kabla ya kuamua kununua gari lililotangazwa kwenye GariPesa?

Kabla ya kuamua kununua, hakikisha unakagua gari kwa macho, kufanyiwa ukaguzi na fundi, kuangalia historia ya matengenezo na nyaraka kama kadi ya gari na mkataba sahihi. Epuka kutuma pesa bila kumwona muuzaji ana kwa ana kwenye eneo salama.

Je GariPesa inahusika kwenye miamala ya fedha kati ya mnunuzi na muuzaji?

Kwa sasa GariPesa ni jukwaa la matangazo na halishiki fedha kwa niaba ya wanunuzi au wauzaji. Malipo hufanyika moja kwa moja kati ya pande mbili. Tunashauri kila upande kufuata taratibu za usalama, mikataba iliyoandikwa na kukutana maeneo salama.

Je ninawezaje kupunguza hatari ya udanganyifu (scam) ninapotumia majukwaa ya magari mtandaoni?

Epuka ofa ambazo zinaonekana nzuri sana kuliko kawaida, usitume pesa bila kuliona gari na kumbukumbu kamili, na usikubali kushawishiwa kukutana maeneo hatarishi. Tumia mawasiliano rasmi na uhakikishe jina kwenye malipo linaendana na maelezo ya muuzaji.

Je ninaweza kupata magari yanayolingana na bajeti yangu kwa urahisi kwenye GariPesa?

Ndiyo, unaweza kutumia vichujio kama bei ya chini na ya juu, mwaka wa uzalishaji, hali ya gari na Mkoa ili kuona magari yanayolingana na bajeti na mahitaji yako. Unaweza pia kulinganisha matangazo kadhaa ya modeli moja kabla ya kuamua.

Largest Online Car Market in Tanzania
Copyright © 2025. All rights reserved.