Filters

Results Clear all

Mkoa

Mkoa

Make

Make

Model

Model

Condition

Condition

Body-Type

Body-Type

Drive Type

Drive Type

Transmission

Transmission

Fuel Type

Fuel Type

Cylinders

Cylinders

Color

Color

Doors

Doors
Clear all
More filters
398 Results
Sort by:
Panga Kwa: Pendekezwa
Toyota Rumion (2008)
Toyota rumion ya mwaka 2008, rangi nyeupe, inauzwa kwa tzs 2...
TSh 21,500,000
2008 • Not-Reg • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Toyota Spacio (2002)
Toyota spacio ya mwaka 2002, yenye injini ya 1490cc na milea...
TSh 12,500,000
2002 • Namba D • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Toyota Sienta (2006)
Toyota sienta ya mwaka 2006 inauzwa kwa tzs 14.8 milioni. In...
TSh 14,800,000
2006 • Namba E • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Toyota Sienta (2005)
Toyota sienta ya mwaka 2005, rangi ya bluu, inauzwa mwanza k...
TSh 11,800,000
2005 • Namba D • Petrol
Mwanza
Automatic
Toyota Spacio (2000)
Toyota spacio ya mwaka 2000, yenye injini ya 1790cc na silin...
TSh 5,900,000
2000 • Namba B • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Toyota Raum (2004)
Toyota raum ya mwaka 2004, rangi ya silver, inapatikana mwan...
TSh 7,900,000
2004 • Namba D • Petrol
Mwanza
Automatic
Toyota Spacio (2000)
Toyota spacio ya mwaka 2000 inauzwa dar es salaam. Gari hili...
TSh 3,500,000
2000 • Namba A • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Toyota Spacio (2004)
Toyota spacio ya mwaka takriban 2004, rangi nyekundu, injini...
TSh 11,800,000
2004 • Namba D • Petrol
Arusha
Automatic
Toyota Raum (2005)
Toyota raum ya mwaka 2005, rangi ya silver, injini ya 1490cc...
TSh 12,500,000
2005 • Namba D • Petrol
Arusha
Automatic
Toyota Sienta (2004)
Toyota sienta ya mwaka 2004, rangi nyeusi, inauzwa kwa tzs 1...
TSh 17,000,000
2004 • Not-Reg • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Toyota Rumion (2008)
Toyota rumion ya mwaka 2008, rangi ya kijivu, inauzwa kwa sh...
TSh 10,000,000
2008 • Not-Reg • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Toyota Rumion (2011)
Toyota rumion ya mwaka 2011, yenye injini ya 1490cc na rangi...
TSh 21,500,000
2011 • Not-Reg • Petrol
Dar es Salaam
Automatic

Kununua Gari

Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.

Kuuza Gari

Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!

Bei Za Magari Tanzania

Kwa mtazamo wa Tanzania nzima, magari yaliyopo sokoni huanzia takribani TSh 1.8M kwa magari madogo ya matumizi ya kila siku na kufika hadi TSh 400M kwa SUV kubwa, 4x4 na magari ya kifahari ya kiwango cha showroom.

Magari tunayoyaona sokoni huwa ya miaka mbalimbali, kuanzia takribani 1987 hadi 2025, na wastani wa bei ukiwa TSh 34M. Magari used ya miaka ya nyuma huwa nafuu zaidi, wakati magari ya miaka mipya, yenye mileage ndogo na yaliyokaribia ubora wa magari ya showroom bei huwa juu zaidi.

Pia aina ya usajili wa plate namba ya gari una athari kubwa kwenye bei. Magari ambayo hayajasajiliwa lakini ushuru wote umelipwa mara nyingi huwa na bei ya juu zaidi, karibu sawa na bei za gari hii showroom Dar es salaam. Magari yenye namba kama Namba E, D, C, B au A huwa bei nafuu, na kadiri herufi inavyoshuka (kwa mfano kutoka E kwenda A) ndivyo bei za magari inavyopungua.

Badala ya kutegemea showroom moja au maelezo ya muuzaji mmoja pekee, tumia GariPesa kulinganisha magari used na magari yaliyo karibu na kiwango cha showroom kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania, ili ufanye maamuzi ya bei kwa ujasiri zaidi.

Download GariPesa App

Soko Kuu la Magari Tanzania.