Filters

Results Clear all

Mkoa

Mkoa

Make

Make

Model

Model

Condition

Condition

Body-Type

Body-Type

Drive Type

Drive Type

Transmission

Transmission

Fuel Type

Fuel Type

Cylinders

Cylinders

Color

Color

Doors

Doors
Clear all
More filters
68 Results
Toyota Raum For Sale In Dar es salaam Used Tanzania Namba D
Gari imetunzwa vizuri cc 1490 engine safi gear box safi full...
TSh 9,000,000
2003 • Namba D • Petrol
Dar es salaam
Automatic
Toyota Rumion New Model For Sale In Dar es salaam Used Tanzania Namba E
Toyota rumion ejp year: 2011 cc: 1790 kilometers: 64,000 col...
TSh 18,500,000
2011 • Namba E • Petrol
Dar es salaam
Automatic
Toyota Spacio For Sale In Dar es salaam Used Tanzania Namba D
Toyota spacio engine 5a cc 1490 full ac full documents inauz...
TSh 7,500,000
2000 • Namba D • Petrol
Dar es salaam
Automatic
Toyota Raum For Sale In Dar es salaam Used Tanzania Namba D
Full a/c bima kubwa njoo ukague uende nayo mjini gari ya kaz...
TSh 7,000,000
2003 • Namba D • Petrol
Dar es salaam
Automatic
Toyota Sienta For Sale In Dar es salaam Used Tanzania Namba D
Tairi mpya gari iko kwenye good condition cc 1490
TSh 8,500,000
2005 • Namba D • Petrol
Dar es salaam
Automatic
Toyota Nadia For Sale In Dar es salaam Used Tanzania Namba D
Nadia engine 3s haina kipengele, 6.5ml maongezi kidogo. Njoo...
TSh 6,500,000
2001 • Namba D • Petrol
Dar es salaam
Automatic
Toyota Spacio For Sale In Dar es salaam Used Tanzania Namba C
Gari nzuri safari popote cc1490 bei 6.5
TSh 6,500,000
2001 • Namba C • Petrol
Dar es salaam
Automatic
Toyota Rumion For Sale In Dar es salaam Used Nje Ya Nchi Unregistered
Toyota rumion 2008 model low mileage maroon 1490 cc push to ...
TSh 18,000,000
2008 • Not-Reg • Petrol
Dar es salaam
Automatic
Toyota Rumion For Sale In Dar es salaam Used Tanzania Namba D
Android tv music system gari mpya full document full ac kari...
TSh 14,800,000
2008 • Namba D • Petrol
Dar es salaam
Automatic
Toyota Rumion For Sale In Arusha Used Tanzania Namba E
Tairi mpya gari haina changamoto yoyote ile full ac unaganda
TSh 18,700,000
2010 • Namba E • Petrol
Arusha
Automatic
Toyota Rumion For Sale In Dar es salaam Used Nje Ya Nchi Unregistered
Gari nzuri sana karibuni wateja push to start black colour
TSh 21,500,000
2008 • Not-Reg • Petrol
Dar es salaam
Automatic
Toyota Rumion For Sale In Arusha Used Nje Ya Nchi Unregistered
Gari ni mpya kabisa yenye rangi nzuri sana kila kitu ni kipy...
TSh 21,000,000
2008 • Not-Reg • Petrol
Arusha
Automatic

Bei Za Magari Tanzania

Kwa mtazamo wa Tanzania nzima, magari yaliyopo sokoni huanzia takribani TSh 2.7M kwa magari madogo ya matumizi ya kila siku na kufika hadi TSh 396M kwa SUV kubwa, 4x4 na magari ya kifahari ya kiwango cha showroom.

Magari tunayoyaona sokoni huwa ya miaka mbalimbali, kuanzia takribani 1982 hadi 2026, na wastani wa bei ukiwa TSh 35.8M. Magari used ya miaka ya nyuma huwa nafuu zaidi, wakati magari ya miaka mipya, yenye mileage ndogo na yaliyokaribia ubora wa magari ya showroom bei huwa juu zaidi.

Pia aina ya usajili wa plate namba ya gari una athari kubwa kwenye bei. Magari ambayo hayajasajiliwa lakini ushuru wote umelipwa mara nyingi huwa na bei ya juu zaidi, karibu sawa na bei za gari hii showroom Dar es salaam. Magari yenye namba kama Namba E, D, C, B au A huwa bei nafuu, na kadiri herufi inavyoshuka (kwa mfano kutoka E kwenda A) ndivyo bei za magari inavyopungua.

Badala ya kutegemea showroom moja au maelezo ya muuzaji mmoja pekee, tumia GariPesa kulinganisha magari used na magari yaliyo karibu na kiwango cha showroom kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania, ili ufanye maamuzi ya bei kwa ujasiri zaidi.

Magari Yanayouzwa Tanzania. Tembelea orodha ya magari kutoka kwa wauzaji mbalimbali wenye bei na viwango tofauti, yote yakiwa yamekusanywa kwenye GariPesa kwa wanunuzi wa Tanzania. Tumia vichujio vilivyo juu kuchagua make, model, mwaka na bajeti inayokufaa.

Maswali Yaulizwayo Tanzania Sana Kuhusu Kununua Gari Kupitia GariPesa (FAQ)

Je GariPesa ni jukwaa gani na linasaidiaje kwenye kununua au kuuza gari?

GariPesa ni soko la mtandaoni la magari linalokuunganisha moja kwa moja na wauzaji na wanunuzi nchini Tanzania. Unaweza kutafuta magari kwa Make, Model, Mkoa, bei na vigezo vingine, kisha kuwasiliana na muuzaji kupitia simu au WhatsApp.

Je ninatakiwa kufanya nini kabla ya kuamua kununua gari lililotangazwa kwenye GariPesa?

Kabla ya kuamua kununua, hakikisha unakagua gari kwa macho, kufanyiwa ukaguzi na fundi, kuangalia historia ya matengenezo na nyaraka kama kadi ya gari na mkataba sahihi. Epuka kutuma pesa bila kumwona muuzaji ana kwa ana kwenye eneo salama.

Je GariPesa inahusika kwenye miamala ya fedha kati ya mnunuzi na muuzaji?

Kwa sasa GariPesa ni jukwaa la matangazo na halishiki fedha kwa niaba ya wanunuzi au wauzaji. Malipo hufanyika moja kwa moja kati ya pande mbili. Tunashauri kila upande kufuata taratibu za usalama, mikataba iliyoandikwa na kukutana maeneo salama.

Je ninawezaje kupunguza hatari ya udanganyifu (scam) ninapotumia majukwaa ya magari mtandaoni?

Epuka ofa ambazo zinaonekana nzuri sana kuliko kawaida, usitume pesa bila kuliona gari na kumbukumbu kamili, na usikubali kushawishiwa kukutana maeneo hatarishi. Tumia mawasiliano rasmi na uhakikishe jina kwenye malipo linaendana na maelezo ya muuzaji.

Je ninaweza kupata magari yanayolingana na bajeti yangu kwa urahisi kwenye GariPesa?

Ndiyo, unaweza kutumia vichujio kama bei ya chini na ya juu, mwaka wa uzalishaji, hali ya gari na Mkoa ili kuona magari yanayolingana na bajeti na mahitaji yako. Unaweza pia kulinganisha matangazo kadhaa ya modeli moja kabla ya kuamua.

Download GariPesa App

Nunua na uza magari kirahisi zaidi kupitia simu yako.