Filters

Results Clear all

Mkoa

Mkoa

Make

Make

Model

Model

Condition

Condition

Body-Type

Body-Type

Drive Type

Drive Type

Transmission

Transmission

Fuel Type

Fuel Type

Cylinders

Cylinders

Color

Color

Doors

Doors

Sifa Nyingine

Sifa Nyingine
Clear all
More filters
17 Results
Toyota Coaster Old Model For Sale In Dar es salaam Used Nje Ya Nchi Unregistered
Gari ni mpya sana unaipata kwa gharama nafuu sana.
TSh 79,000,000
1994 • Not-Reg • Diesel
Dar es salaam
Manual
Toyota Hiace New Model For Sale In Dar es salaam Used Nje Ya Nchi Unregistered
Toyota hiace super gl premium edition year: 2013 cc: 2990 fu...
TSh 80,000,000
2013 • Not-Reg • Diesel
Dar es salaam
Automatic
Toyota Hiace For Sale In Dar es salaam Used Nje Ya Nchi Unregistered
Toyota hiace new year: 2006 cc 2700 engine: 2kd fuel: diesel...
TSh 55,000,000
2006 • Not-Reg • Petrol
Dar es salaam
Automatic
Toyota Coaster New Model For Sale In Dar es salaam Used Tanzania Namba D
Test
TSh 66,000,000
2013 • Namba D • Diesel
Dar es salaam
Automatic
Toyota Coaster For Sale In Dar es salaam Used Nje Ya Nchi Unregistered
Wateja wangu wa coaster... 1hz-auto siti 29 mupya bado bei: ...
TSh 90,000,000
2003 • Not-Reg • Diesel
Dar es salaam
Automatic
Toyota Coaster For Sale In Dar es salaam Used Hapa Tanzania Namba D
Toyota coaster mayai 1hz manual gari kali sana inauzwa bei 4...
TSh 45,000,000
2000 • Namba D • Diesel
Dar es salaam
Manual
Toyota Coaster For Sale In Dar es salaam Used Nje Ya Nchi Unregistered
Coaster 2000 automatic 1hz engine seat 7 inakuja nazo tu cc ...
TSh 69,000,000
2000 • Not-Reg • Diesel
Dar es salaam
Automatic
Toyota Hiace For Sale In Dar es salaam Used Nje Ya Nchi Unregistered
Make: toyota hiace van year: 2006 engine capacity: 2490cc fu...
TSh 46,000,000
2006 • Not-Reg • Diesel
Dar es salaam
Automatic
Toyota Coaster For Sale In Dar es salaam Used Nje Ya Nchi Unregistered
Coaster mpyaa chesis no ,1hdt engine,automatic gear ,29 seat...
TSh 90,000,000
2004 • Not-Reg • Diesel
Dar es salaam
Automatic
Toyota Coaster Old Model For Sale In Arusha Used Hapa Tanzania Namba C
Rangi na seat mpya ina carrier engine mpya.
TSh 17,000,000
1989 • Namba C • Diesel
Arusha
Manual
Nissan Civilian New Model For Sale In Dar es salaam Used Hapa Tanzania Namba C
Gari hiko vizuri hata sasa ipo balabarani na ina fanya kazi ...
TSh 15,000,000
2015 • Namba C
Dar es salaam
Manual
Nissan Livina For Sale In Dar es salaam Used Hapa Tanzania Namba D
@fimbo sana on sale🚘 nissan civilian(reg ds) year 2002 engin...
TSh 30,000,000
2002 • Namba D • Diesel
Dar es salaam
Manual

Bei Za Magari Tanzania

Kwa mtazamo wa Tanzania nzima, magari yaliyopo sokoni huanzia takribani TSh 3M kwa magari madogo ya matumizi ya kila siku na kufika hadi TSh 750M kwa SUV kubwa, 4x4 na magari ya kifahari ya kiwango cha showroom.

Magari tunayoyaona sokoni huwa ya miaka mbalimbali, kuanzia takribani 1994 hadi 2025, na wastani wa bei ukiwa TSh 53.2M. Magari used ya miaka ya nyuma huwa nafuu zaidi, wakati magari ya miaka mipya, yenye mileage ndogo na yaliyokaribia ubora wa magari ya showroom bei huwa juu zaidi.

Pia aina ya usajili wa plate namba ya gari una athari kubwa kwenye bei. Magari ambayo hayajasajiliwa lakini ushuru wote umelipwa mara nyingi huwa na bei ya juu zaidi, karibu sawa na bei za gari hii showroom Dar es salaam. Magari yenye namba kama Namba E, D, C, B au A huwa bei nafuu, na kadiri herufi inavyoshuka (kwa mfano kutoka E kwenda A) ndivyo bei za magari inavyopungua.

Badala ya kutegemea showroom moja au maelezo ya muuzaji mmoja pekee, tumia GariPesa kulinganisha magari used na magari yaliyo karibu na kiwango cha showroom kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania, ili ufanye maamuzi ya bei kwa ujasiri zaidi.

Magari Yanayouzwa Tanzania. Tembelea orodha ya magari kutoka kwa wauzaji mbalimbali wenye bei na viwango tofauti, yote yakiwa yamekusanywa kwenye GariPesa kwa wanunuzi wa Tanzania. Tumia vichujio vilivyo juu kuchagua make, model, mwaka na bajeti inayokufaa.

Maswali Yaulizwayo Tanzania Sana Kuhusu Kununua Gari Kupitia GariPesa (FAQ)

Je GariPesa ni jukwaa gani na linasaidiaje kwenye kununua au kuuza gari?

GariPesa ni soko la mtandaoni la magari linalokuunganisha moja kwa moja na wauzaji na wanunuzi nchini Tanzania. Unaweza kutafuta magari kwa Make, Model, Mkoa, bei na vigezo vingine, kisha kuwasiliana na muuzaji kupitia simu au WhatsApp.

Je ninatakiwa kufanya nini kabla ya kuamua kununua gari lililotangazwa kwenye GariPesa?

Kabla ya kuamua kununua, hakikisha unakagua gari kwa macho, kufanyiwa ukaguzi na fundi, kuangalia historia ya matengenezo na nyaraka kama kadi ya gari na mkataba sahihi. Epuka kutuma pesa bila kumwona muuzaji ana kwa ana kwenye eneo salama.

Je GariPesa inahusika kwenye miamala ya fedha kati ya mnunuzi na muuzaji?

Kwa sasa GariPesa ni jukwaa la matangazo na halishiki fedha kwa niaba ya wanunuzi au wauzaji. Malipo hufanyika moja kwa moja kati ya pande mbili. Tunashauri kila upande kufuata taratibu za usalama, mikataba iliyoandikwa na kukutana maeneo salama.

Je ninawezaje kupunguza hatari ya udanganyifu (scam) ninapotumia majukwaa ya magari mtandaoni?

Epuka ofa ambazo zinaonekana nzuri sana kuliko kawaida, usitume pesa bila kuliona gari na kumbukumbu kamili, na usikubali kushawishiwa kukutana maeneo hatarishi. Tumia mawasiliano rasmi na uhakikishe jina kwenye malipo linaendana na maelezo ya muuzaji.

Je ninaweza kupata magari yanayolingana na bajeti yangu kwa urahisi kwenye GariPesa?

Ndiyo, unaweza kutumia vichujio kama bei ya chini na ya juu, mwaka wa uzalishaji, hali ya gari na Mkoa ili kuona magari yanayolingana na bajeti na mahitaji yako. Unaweza pia kulinganisha matangazo kadhaa ya modeli moja kabla ya kuamua.

Largest Online Car Market in Tanzania
Copyright © 2025. All rights reserved.