Filters

Results Clear all

Mkoa

Mkoa

Make

Make

Model

Model

Condition

Condition

Body-Type

Body-Type

Drive Type

Drive Type

Transmission

Transmission

Fuel Type

Fuel Type

Cylinders

Cylinders

Color

Color

Doors

Doors

Sifa Nyingine

Sifa Nyingine
Clear all
More filters
212 Results
Toyota IST For Sale In Dar es salaam Used Tanzania Namba C
Toyota ist engine 1nz cc1290 no ac ila ina full documents in...
TSh 7,000,000
2004 • Namba C • Petrol
Dar es salaam
Automatic
Toyota Vitz For Sale In Dar es salaam Used Tanzania Namba B
Vitz kali cc 990 vvti.hakuna kipengele bei:4.5ml kimbilia 📍d...
TSh 4,500,000
2002 • Namba B • Petrol
Dar es salaam
Automatic
Toyota Rumion For Sale In Dar es salaam Used Tanzania Namba D
Year || 2008///toyota || rumion///✅ ●asking price//bei :: mi...
TSh 12,000,000
2009 • Namba D • Petrol
Dar es salaam
Automatic
Toyota Vitz For Sale In Dar es salaam Used Tanzania Namba E
Vitz new 2006 cc 1290 km 97,000 bei: 11.5ml only wahi kitong...
TSh 11,500,000
2006 • Namba E • Petrol
Dar es salaam
Automatic
Toyota Auris New Model For Sale In Dar es salaam Used Tanzania Namba E
Toyota aqua cc1490 year 2012 music radio sports rims wincker...
TSh 14,800,000
2012 • Namba E • Petrol
Dar es salaam
Automatic
Toyota IST For Sale In Dar es salaam Used Tanzania Namba C
Toyota ist transmission: automatic fuel : petrol price: 8.5 ...
TSh 8,000,000
2004 • Namba C • Petrol
Dar es salaam
Automatic
Toyota IST For Sale In Arusha Used Nje Ya Nchi Namba E
Toyota ist bado ni mpya haswa bei 17m ipo arusha mwaka 2004 ...
TSh 17,000,000
2004 • Namba E • Petrol
Arusha
Automatic
Toyota IST For Sale In Dar es salaam Used Tanzania Namba D
Toyota istautomaticfuel:petrol year: 2013/2014📍mwanzaprice:1...
TSh 15,000,000
2013 • Namba D • Petrol
Dar es salaam
Automatic
Toyota Raum For Sale In Dar es salaam Used Tanzania Namba D
Kimbia mbio raum bei:7ml bila ubishi full a/c kigoma nenda n...
TSh 7,000,000
2004 • Namba D • Petrol
Dar es salaam
Automatic
Subaru Impreza New Model For Sale In Dar es salaam Used Nje Ya Nchi Unregistered
Subaru impreza - sporty, reliable & fuel-efficientprice:...
TSh 19,500,000
2012 • Not-Reg • Petrol
Dar es salaam
Automatic
BMW 1 Series New Model For Sale In Dar es salaam Used Nje Ya Nchi Unregistered
2012 bmw 120i engine capacity cc: 1590 engine code: (turbo c...
TSh 25,000,000
2012 • Not-Reg • Petrol
Dar es salaam
Automatic
Toyota Vitz For Sale In Arusha Used Tanzania Namba D
Toyota vitz rs nzuri sana full document tyre zote mpya cc129...
TSh 6,900,000
2008 • Namba D • Petrol
Arusha
Automatic

Bei Za Magari Tanzania

Kwa mtazamo wa Tanzania nzima, magari yaliyopo sokoni huanzia takribani TSh 3M kwa magari madogo ya matumizi ya kila siku na kufika hadi TSh 750M kwa SUV kubwa, 4x4 na magari ya kifahari ya kiwango cha showroom.

Magari tunayoyaona sokoni huwa ya miaka mbalimbali, kuanzia takribani 1994 hadi 2025, na wastani wa bei ukiwa TSh 53.2M. Magari used ya miaka ya nyuma huwa nafuu zaidi, wakati magari ya miaka mipya, yenye mileage ndogo na yaliyokaribia ubora wa magari ya showroom bei huwa juu zaidi.

Pia aina ya usajili wa plate namba ya gari una athari kubwa kwenye bei. Magari ambayo hayajasajiliwa lakini ushuru wote umelipwa mara nyingi huwa na bei ya juu zaidi, karibu sawa na bei za gari hii showroom Dar es salaam. Magari yenye namba kama Namba E, D, C, B au A huwa bei nafuu, na kadiri herufi inavyoshuka (kwa mfano kutoka E kwenda A) ndivyo bei za magari inavyopungua.

Badala ya kutegemea showroom moja au maelezo ya muuzaji mmoja pekee, tumia GariPesa kulinganisha magari used na magari yaliyo karibu na kiwango cha showroom kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania, ili ufanye maamuzi ya bei kwa ujasiri zaidi.

Magari Yanayouzwa Tanzania. Tembelea orodha ya magari kutoka kwa wauzaji mbalimbali wenye bei na viwango tofauti, yote yakiwa yamekusanywa kwenye GariPesa kwa wanunuzi wa Tanzania. Tumia vichujio vilivyo juu kuchagua make, model, mwaka na bajeti inayokufaa.

Maswali Yaulizwayo Tanzania Sana Kuhusu Kununua Gari Kupitia GariPesa (FAQ)

Je GariPesa ni jukwaa gani na linasaidiaje kwenye kununua au kuuza gari?

GariPesa ni soko la mtandaoni la magari linalokuunganisha moja kwa moja na wauzaji na wanunuzi nchini Tanzania. Unaweza kutafuta magari kwa Make, Model, Mkoa, bei na vigezo vingine, kisha kuwasiliana na muuzaji kupitia simu au WhatsApp.

Je ninatakiwa kufanya nini kabla ya kuamua kununua gari lililotangazwa kwenye GariPesa?

Kabla ya kuamua kununua, hakikisha unakagua gari kwa macho, kufanyiwa ukaguzi na fundi, kuangalia historia ya matengenezo na nyaraka kama kadi ya gari na mkataba sahihi. Epuka kutuma pesa bila kumwona muuzaji ana kwa ana kwenye eneo salama.

Je GariPesa inahusika kwenye miamala ya fedha kati ya mnunuzi na muuzaji?

Kwa sasa GariPesa ni jukwaa la matangazo na halishiki fedha kwa niaba ya wanunuzi au wauzaji. Malipo hufanyika moja kwa moja kati ya pande mbili. Tunashauri kila upande kufuata taratibu za usalama, mikataba iliyoandikwa na kukutana maeneo salama.

Je ninawezaje kupunguza hatari ya udanganyifu (scam) ninapotumia majukwaa ya magari mtandaoni?

Epuka ofa ambazo zinaonekana nzuri sana kuliko kawaida, usitume pesa bila kuliona gari na kumbukumbu kamili, na usikubali kushawishiwa kukutana maeneo hatarishi. Tumia mawasiliano rasmi na uhakikishe jina kwenye malipo linaendana na maelezo ya muuzaji.

Je ninaweza kupata magari yanayolingana na bajeti yangu kwa urahisi kwenye GariPesa?

Ndiyo, unaweza kutumia vichujio kama bei ya chini na ya juu, mwaka wa uzalishaji, hali ya gari na Mkoa ili kuona magari yanayolingana na bajeti na mahitaji yako. Unaweza pia kulinganisha matangazo kadhaa ya modeli moja kabla ya kuamua.

Largest Online Car Market in Tanzania
Copyright © 2025. All rights reserved.