

































Epuka Kuuziwa Gari Bovu! Kabla huja-lipia tutakagua engine, gearbox na hitilafu zote za gari zinazoweza kukupa hasara kubwa katika matengenezo. Pata ukaguzi kamili kwa TSh 49,000/= tu popote ndani ya Dar es salaam.
π Book Ukaguzi LeoUmepungukiwa Fedha ya Malipo ya Gari? Ondoa shaka! GariPesa tutakupa mkopo wa haraka, ulipie gari hili liwe lako.
π¦ Omba Mkopo SasaBei ya muuzaji: TSh 190,000,000
Mimi ndo muhusika halali wa Gari na gari yangu nimeichukua brand new 0km na kwa sasa ina 11,000km tu na mwezi huu nimetoka kuifanyia service hapa nikuwasha na kuondoka popote pale iwe ndani au nje ya Tanzania na pia mteja akinunua gari kwangu natoa offer zifuatazo bure
1. Full registration
2. β Car serviceβ
3. β Full tank
4. β Special no. ya plate number mfano 111, 222,333,777,999,888 hii huwa inalipiwa ila nailipa mimi kwa garama yangu.
Asanteni na karibuni sana, Tuwasiliane kwa namba zifuatazo [Tumia vitufe vya mawasiliano] au [Tumia vitufe vya mawasiliano] au [Tumia vitufe vya mawasiliano]
Private Seller β’ Tangazo 1 β’ Anatumia GariPesa tangu 2025
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari ππ° au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Kwa mfano, Toyota Hilux 2024 (Not-Reg) huuzwa wastani wa Tsh 159,000,000. Je, gari unalotaka kununua linauzwa bei gani? Jaza fomu fupi hapa chini upate bei halisi ya gari unalotaka kununua.
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.