Filters

Results Clear all

Mkoa

Mkoa

Make

Make

Model

Model

Condition

Condition

Body-Type

Body-Type

Drive Type

Drive Type

Transmission

Transmission

Fuel Type

Fuel Type

Cylinders

Cylinders

Color

Color

Doors

Doors

Sifa Nyingine

Sifa Nyingine
Clear all
More filters
37 Results
Toyota Passo For Sale In Mwanza Used Tanzania Unregistered
Passo nyeupe kali sana. For sale ipo mwanza. Usajili bure
TSh 14,000,000
2005 • Not-Reg • Petrol
Mwanza
Automatic
Toyota Passo For Sale In Mwanza Used Tanzania Namba D
Passo redwire inauzwa mwanza
TSh 12,000,000
2004 • Namba D • Petrol
Mwanza
Automatic
Toyota Harrier For Sale In Mwanza Used Tanzania Namba E
Gari imetunzwa vizuri, haina shida yoyote.
TSh 18,000,000
2001 • Namba E • Petrol
Mwanza
Automatic
Toyota Passo For Sale In Mwanza Used Tanzania Namba D
Passo bado mpya
TSh 14,000,000
2004 • Namba D • Petrol
Mwanza
Automatic
Toyota Belta For Sale In Mwanza Used Nje Ya Nchi Namba D
Gari ina cc ndogo 990. Haina kipengere chochote, tairi mpya,...
TSh 8,500,000
2008 • Namba D • Petrol
Mwanza
Automatic
Toyota Brevis For Sale In Mwanza Used Hapa Tanzania Namba D
Brevis cc 2490 bei 6.5m iko mwanza #0764404688
TSh 6,500,000
2002 • Namba D • Petrol
Mwanza
Automatic
Toyota Passo For Sale In Mwanza Used Tanzania Namba D
Passo ya silver ipo mwanza
TSh 7,000,000
2008 • Namba D • Petrol
Mwanza
Automatic
Toyota Wish For Sale In Mwanza Used Tanzania Namba D
Toyota wish price - 9.8mil call&watsap: 0686584814 📍mwan...
TSh 9,800,000
2006 • Namba D
Mwanza
Automatic
Toyota Passo For Sale In Mwanza Used Tanzania Namba E
Passo nyekundu kali sana
TSh 8,000,000
2005 • Namba E • Petrol
Mwanza
Automatic
Toyota IST For Sale In Mwanza Used Tanzania Namba C
Toyota ist-cyn engine& gearbox -good condition a/c-good ...
TSh 7,000,000
2005 • Namba C • Petrol
Mwanza
Automatic
Toyota Premio For Sale In Mwanza Used Tanzania Namba E
Si ya kukosa
TSh 18,000,000
2007 • Namba E • Petrol
Mwanza
Automatic
Toyota Allex For Sale In Mwanza Used Hapa Tanzania Namba D
Gear box safi injini safi kabisa haina ajari cc- 1490 call&a...
TSh 14,500,000
2006 • Namba D • Petrol
Mwanza
Automatic

Bei Za Magari Mkoa Wa Mwanza Tanzania

Katika Mkoa wa Mwanza, bei za magari yaliyopo sokoni huanzia takribani TSh 5.2M hadi kufikia karibu TSh 132M, kutegemea aina ya gari, mwaka, usajili, kama gari ni used au jipya la showroom na hali ya jumla ya gari.

Kwa ujumla, magari mengi yanayouzwa Mkoa wa Mwanza huwa ya miaka kati ya 2001–2023, na wastani wa bei ukiwa TSh 18.1M. Magari mapya zaidi au yaliyokaribiana na kiwango cha showroom yanaweza kuwa juu zaidi ya wastani huu kuliko magari used yenye miaka mingi au mileage kubwa.

Pia aina ya usajili wa plate namba ya gari una athari kubwa kwenye bei. Magari ambayo hayajasajiliwa lakini ushuru wote umelipwa mara nyingi huwa na bei ya juu zaidi, karibu sawa na bei za gari hii showroom Dar es salaam. Magari yenye namba kama Namba E, D, C, B au A huwa bei nafuu, na kadiri herufi inavyoshuka (kwa mfano kutoka E kwenda A) ndivyo bei za magari inavyopungua.

Tunapendekeza ulinganishe matangazo ya magari kutoka Mkoa wa Mwanza na mikoa mingine kupitia GariPesa ili uone kama bei unazopewa ziko juu au chini ya bei ya soko kwa aina ya gari unayotafuta iwe used, mpya au yenye ubora sawa na magari ya showroom.

Magari Yanayouzwa Mwanza, Tanzania. Tembelea orodha ya magari kutoka kwa wauzaji mbalimbali wenye bei na viwango tofauti, yote yakiwa yamekusanywa kwenye GariPesa kwa wanunuzi wa Tanzania. Tumia vichujio vilivyo juu kuchagua make, model, mwaka na bajeti inayokufaa.

Maswali Yaulizwayo Tanzania Sana Kuhusu Kununua Gari Kupitia GariPesa (FAQ)

Je GariPesa ni jukwaa gani na linasaidiaje kwenye kununua au kuuza gari?

GariPesa ni soko la mtandaoni la magari linalokuunganisha moja kwa moja na wauzaji na wanunuzi nchini Tanzania. Unaweza kutafuta magari kwa Make, Model, Mkoa, bei na vigezo vingine, kisha kuwasiliana na muuzaji kupitia simu au WhatsApp.

Je ninatakiwa kufanya nini kabla ya kuamua kununua gari lililotangazwa kwenye GariPesa?

Kabla ya kuamua kununua, hakikisha unakagua gari kwa macho, kufanyiwa ukaguzi na fundi, kuangalia historia ya matengenezo na nyaraka kama kadi ya gari na mkataba sahihi. Epuka kutuma pesa bila kumwona muuzaji ana kwa ana kwenye eneo salama.

Je GariPesa inahusika kwenye miamala ya fedha kati ya mnunuzi na muuzaji?

Kwa sasa GariPesa ni jukwaa la matangazo na halishiki fedha kwa niaba ya wanunuzi au wauzaji. Malipo hufanyika moja kwa moja kati ya pande mbili. Tunashauri kila upande kufuata taratibu za usalama, mikataba iliyoandikwa na kukutana maeneo salama.

Je ninawezaje kupunguza hatari ya udanganyifu (scam) ninapotumia majukwaa ya magari mtandaoni?

Epuka ofa ambazo zinaonekana nzuri sana kuliko kawaida, usitume pesa bila kuliona gari na kumbukumbu kamili, na usikubali kushawishiwa kukutana maeneo hatarishi. Tumia mawasiliano rasmi na uhakikishe jina kwenye malipo linaendana na maelezo ya muuzaji.

Je ninaweza kupata magari yanayolingana na bajeti yangu kwa urahisi kwenye GariPesa?

Ndiyo, unaweza kutumia vichujio kama bei ya chini na ya juu, mwaka wa uzalishaji, hali ya gari na Mkoa ili kuona magari yanayolingana na bajeti na mahitaji yako. Unaweza pia kulinganisha matangazo kadhaa ya modeli moja kabla ya kuamua.

Largest Online Car Market in Tanzania
Copyright © 2025. All rights reserved.