Filters

Results Clear all

Mkoa

Mkoa

Make

Make

Model

Model

Condition

Condition

Body-Type

Body-Type

Drive Type

Drive Type

Transmission

Transmission

Fuel Type

Fuel Type

Cylinders

Cylinders

Color

Color

Doors

Doors
Clear all
More filters
7 Results
Sort by:
Panga Kwa: Pendekezwa
Jeep Grand Cherokee (2014)
Jeep grand cherokee ya mwaka 2014, rangi nyeusi, inatumia di...
TSh 43,000,000
2014 • Namba E • Diesel
Dar es Salaam
Automatic
Jeep Grand Cherokee (2012)
Jeep grand cherokee ya mwaka 2012 inauzwa. Ina injini ya 300...
TSh 45,000,000
2012 • Not-Reg • Diesel
Dar es Salaam
Automatic
Jeep Grand Cherokee (2012)
Jeep grand cherokee ya mwaka 2012, rangi nyeusi, injini ya 3...
TSh 45,000,000
2012 • Namba E • Diesel
Dar es Salaam
Automatic
Jeep Grand Cherokee (2012)
Jeep grand cherokee ya mwaka 2012, rangi nyeusi, injini ya d...
TSh 45,800,000
2012 • Namba E • Diesel
Dar es Salaam
Automatic
Jeep Grand Cherokee (2012)
Jeep grand cherokee ya mwaka 2012, yenye injini ya 3000cc di...
TSh 45,800,000
2012 • Not-Reg • Diesel
Dar es Salaam
Automatic
Jeep Grand Cherokee (2012)
Jeep grand cherokee ya mwaka 2012 inauzwa. Ina injini ya die...
TSh 45,000,000
2012 • Diesel
Dar es Salaam
Automatic
Jeep Grand Cherokee (2012)
Jeep grand cherokee ya mwaka 2012 inauzwa, ina injini ya pet...
TSh 46,500,000
2012 • Namba E • Petrol
Mwanza
Automatic

Kununua Gari

Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.

Kuuza Gari

Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!

Bei Ya Jeep Grand Cherokee Tanzania

Bei ya Jeep Grand Cherokee Tanzania hasa jijini Dar es salaam huwa kati ya TSh 43M hadi TSh 46.5M, kutegemeana mwaka wa kutengenezwa, hali ya gari, usajili, kama gari ni used au jipya la showroom na mileage ya gari.

Magari mengi ya Jeep Grand Cherokee Tanzania huwa ya kati ya mwaka 2012–2014, na bei ya wastani ikiwa ni TSh 45.2M. Hata hivyo gari za miaka ya mbele, mileage ndogo, Usajili Mpya au full option zinaweza kuwa juu zaidi ya wastani huu ukilinganisha na magari used ya miaka ya nyuma.

Pia aina ya usajili wa plate namba ya gari una athari kubwa kwenye bei. Magari ambayo hayajasajiliwa lakini ushuru wote umelipwa mara nyingi huwa na bei ya juu zaidi, karibu sawa na bei za gari hii showroom Dar es salaam. Magari yenye namba kama Namba E, D, C, B au A huwa bei nafuu, na kadiri herufi inavyoshuka (kwa mfano kutoka E kwenda A) ndivyo bei za magari inavyopungua.

Ili kupata bei nzuri, linganisha matangazo kadhaa ya Jeep Grand Cherokee hapa GariPesa, angalia mwaka, mileage, picha za ndani na nje, pamoja na maelezo ya mmiliki. Hatua hii itakusaidia kujua kama bei uliyopewa iko ndani ya viwango vya sokoni kwa aina ya gari unayotaka au la.

Download GariPesa App

Soko Kuu la Magari.