Filters

Results Clear all

Mkoa

Mkoa

Make

Make

Model

Model

Condition

Condition

Body-Type

Body-Type

Drive Type

Drive Type

Transmission

Transmission

Fuel Type

Fuel Type

Cylinders

Cylinders

Color

Color

Doors

Doors

Sifa Nyingine

Sifa Nyingine
Clear all
More filters
570 Results
Toyota Rav4 For Sale In Dar es salaam Used Tanzania Namba B
Toyota rav4 engine 1zz cc1790 full documents full ac inauzwa...
TSh 10,900,000
2001 • Namba B • Petrol
Dar es salaam
Automatic
Toyota Harrier New Model For Sale In Dar es salaam Used Tanzania Namba E
Gari ya mdada imetunzwa, leather seats,full tinted.
TSh 47,000,000
2016 • Namba E • Petrol
Dar es salaam
Automatic
Toyota Harrier For Sale In Dar es salaam Used Tanzania Namba D
Harrie 2001 petrol, auto, 5s engine rangi.imeoga mkono 📍 dar...
TSh 16,000,000
2001 • Namba D • Petrol
Dar es salaam
Automatic
Mitsubishi Canter For Sale In Shinyanga Used Tanzania Namba C
Engine 4d31 mtumba kavu kabisa ya kuwasha na kwenda inabeba ...
TSh 18,500,000
2001 • Namba C
Shinyanga
Manual
Toyota Rav4 Old Model For Sale In Dar es salaam Used Tanzania Namba D
Toyota rav 4 engine:3s-fe engine cc: 1,990 yom:1998 km: 85,6...
TSh 16,500,000
1999 • Namba D • Petrol
Dar es salaam
Automatic
Toyota Mark X For Sale In Dar es salaam Used Tanzania Namba E
Toyota mark x 2010 mileage: 71,000km engine capacity: 2,500c...
TSh 22,900,000
2010 • Namba E • Petrol
Dar es salaam
Automatic
Toyota Vitz For Sale In Dar es salaam Used Tanzania Namba B
Iko ki vitz engine safi full ac ml 4.9 net contact 0785-3233...
TSh 4,900,000
2001 • Namba B • Petrol
Dar es salaam
Automatic
Toyota Alphard For Sale In Dar es salaam Used Tanzania Namba D
Tupa style👇🏽👇🏽 no kipengele nzima sana full a/c bei:13.5ml n...
TSh 13,500,000
2006 • Namba D • Petrol
Dar es salaam
Automatic
Toyota Rav4 Old Model For Sale In Dar es salaam Used Tanzania Namba B
Toyota rav4 old model gari ni nzuri sana kali ukikuta kipeng...
TSh 6,900,000
1999 • Namba B • Petrol
Dar es salaam
Automatic
Toyota Rav4 For Sale In Zanzibar Used Tanzania #Zanzibar
Gari ni mpya ina 103,000 km namba yake ni ya zanzibar lm kam...
TSh 18,000,000
2006 • #Zanzibar • Petrol
Zanzibar
Automatic
Toyota Crown For Sale In Dar es salaam Used Tanzania Namba D
Toyota crown athlete price: 11,900,000/= engine size: 2990cc...
TSh 11,900,000
2006 • Namba D • Petrol
Dar es salaam
Automatic
Toyota Rav4 New Model For Sale In Dar es salaam Used Tanzania Namba C
Mis tz..ml 11.5 net full ac. Location moloko 📲 0785-323353 n...
TSh 11,500,000
2011 • Namba C • Petrol
Dar es salaam
Automatic

Bei Za Magari Tanzania

Kwa mtazamo wa Tanzania nzima, magari yaliyopo sokoni huanzia takribani TSh 3M kwa magari madogo ya matumizi ya kila siku na kufika hadi TSh 350M kwa SUV kubwa, 4x4 na magari ya kifahari ya kiwango cha showroom.

Magari tunayoyaona sokoni huwa ya miaka mbalimbali, kuanzia takribani 1993 hadi 2025, na wastani wa bei ukiwa TSh 28.8M. Magari used ya miaka ya nyuma huwa nafuu zaidi, wakati magari ya miaka mipya, yenye mileage ndogo na yaliyokaribia ubora wa magari ya showroom bei huwa juu zaidi.

Pia aina ya usajili wa plate namba ya gari una athari kubwa kwenye bei. Magari ambayo hayajasajiliwa lakini ushuru wote umelipwa mara nyingi huwa na bei ya juu zaidi, karibu sawa na bei za gari hii showroom Dar es salaam. Magari yenye namba kama Namba E, D, C, B au A huwa bei nafuu, na kadiri herufi inavyoshuka (kwa mfano kutoka E kwenda A) ndivyo bei za magari inavyopungua.

Badala ya kutegemea showroom moja au maelezo ya muuzaji mmoja pekee, tumia GariPesa kulinganisha magari used na magari yaliyo karibu na kiwango cha showroom kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania, ili ufanye maamuzi ya bei kwa ujasiri zaidi.

Magari Yanayouzwa Tanzania. Tembelea orodha ya magari kutoka kwa wauzaji mbalimbali wenye bei na viwango tofauti, yote yakiwa yamekusanywa kwenye GariPesa kwa wanunuzi wa Tanzania. Tumia vichujio vilivyo juu kuchagua make, model, mwaka na bajeti inayokufaa.

Maswali Yaulizwayo Tanzania Sana Kuhusu Kununua Gari Kupitia GariPesa (FAQ)

Je GariPesa ni jukwaa gani na linasaidiaje kwenye kununua au kuuza gari?

GariPesa ni soko la mtandaoni la magari linalokuunganisha moja kwa moja na wauzaji na wanunuzi nchini Tanzania. Unaweza kutafuta magari kwa Make, Model, Mkoa, bei na vigezo vingine, kisha kuwasiliana na muuzaji kupitia simu au WhatsApp.

Je ninatakiwa kufanya nini kabla ya kuamua kununua gari lililotangazwa kwenye GariPesa?

Kabla ya kuamua kununua, hakikisha unakagua gari kwa macho, kufanyiwa ukaguzi na fundi, kuangalia historia ya matengenezo na nyaraka kama kadi ya gari na mkataba sahihi. Epuka kutuma pesa bila kumwona muuzaji ana kwa ana kwenye eneo salama.

Je GariPesa inahusika kwenye miamala ya fedha kati ya mnunuzi na muuzaji?

Kwa sasa GariPesa ni jukwaa la matangazo na halishiki fedha kwa niaba ya wanunuzi au wauzaji. Malipo hufanyika moja kwa moja kati ya pande mbili. Tunashauri kila upande kufuata taratibu za usalama, mikataba iliyoandikwa na kukutana maeneo salama.

Je ninawezaje kupunguza hatari ya udanganyifu (scam) ninapotumia majukwaa ya magari mtandaoni?

Epuka ofa ambazo zinaonekana nzuri sana kuliko kawaida, usitume pesa bila kuliona gari na kumbukumbu kamili, na usikubali kushawishiwa kukutana maeneo hatarishi. Tumia mawasiliano rasmi na uhakikishe jina kwenye malipo linaendana na maelezo ya muuzaji.

Je ninaweza kupata magari yanayolingana na bajeti yangu kwa urahisi kwenye GariPesa?

Ndiyo, unaweza kutumia vichujio kama bei ya chini na ya juu, mwaka wa uzalishaji, hali ya gari na Mkoa ili kuona magari yanayolingana na bajeti na mahitaji yako. Unaweza pia kulinganisha matangazo kadhaa ya modeli moja kabla ya kuamua.

Largest Online Car Market in Tanzania
Copyright © 2025. All rights reserved.