Filters

Results Clear all

Mkoa

Mkoa

Make

Make

Model

Model

Condition

Condition

Body-Type

Body-Type

Drive Type

Drive Type

Transmission

Transmission

Fuel Type

Fuel Type

Cylinders

Cylinders

Color

Color

Doors

Doors
Clear all
More filters
15 Results
Sort by:
Panga Kwa: Pendekezwa
Subaru XV (2015)
Subaru xv ya mwaka 2015, injini ya 1990cc, rangi ya kahawia....
TSh 25,800,000
2015 • Not-Reg • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Subaru XV (2013)
Subaru xv ya mwaka 2013, yenye injini ya 1900cc na rangi nye...
TSh 16,800,000
2013 • Namba E • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Subaru XV (2014)
Subaru xv ya mwaka 2014, imeagizwa moja kwa moja kutoka japa...
TSh 31,000,000
2014 • Not-Reg • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Subaru XV (2014)
Subaru xv ya mwaka 2014, rangi nyeupe, injini ya petroli 199...
TSh 31,000,000
2014 • Not-Reg • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Subaru XV (2013)
Subaru xv ya mwaka 2013, yenye injini ya 1990cc na rangi nye...
TSh 16,800,000
2013 • Namba E • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Subaru XV (2013)
Subaru xv ya mwaka 2013, injini 1990cc, rangi nyekundu. Gari...
TSh 16,800,000
2013 • Namba E • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Subaru XV (2014)
Subaru xv ya mwaka 2014, yenye injini ya 1990cc, inauzwa kwa...
TSh 14,900,000
2014 • Namba E • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Subaru XV (2010)
Subaru xv ya mwaka 2010, yenye injini ya 1490cc na transmiss...
TSh 14,800,000
2010 • Namba E • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Subaru XV (2012)
Subaru xv ya mwaka 2012 inauzwa ikiwa na injini ya 1500cc, a...
TSh 16,500,000
2012 • Namba E • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Subaru XV (2010)
Subaru xv ya mwaka 2010 inauzwa, ikiwa na injini ya 1490cc n...
TSh 14,800,000
2010 • Namba E • Petrol
Dar es Salaam
Automatic
Subaru XV (2014)
Subaru xv ya mwaka 2014 inauzwa, ikiwa na injini ya 1990cc p...
TSh 31,000,000
2014 • Not-Reg • Hybrid
Dar es Salaam
Automatic
Subaru XV (2012)
Subaru xv ya mwaka 2012 inauzwa. Ina injini ya 1490cc, autom...
TSh 16,800,000
2012 • Namba E • Petrol
Dar es Salaam
Automatic

Kununua Gari

Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.

Kuuza Gari

Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!

Bei Ya Subaru XV Tanzania

Bei ya Subaru XV Tanzania hasa jijini Dar es salaam huwa kati ya TSh 14.8M hadi TSh 31M, kutegemeana mwaka wa kutengenezwa, hali ya gari, usajili, kama gari ni used au jipya la showroom na mileage ya gari.

Magari mengi ya Subaru XV Tanzania huwa ya kati ya mwaka 2010–2015, na bei ya wastani ikiwa ni TSh 21.3M. Hata hivyo gari za miaka ya mbele, mileage ndogo, Usajili Mpya au full option zinaweza kuwa juu zaidi ya wastani huu ukilinganisha na magari used ya miaka ya nyuma.

Pia aina ya usajili wa plate namba ya gari una athari kubwa kwenye bei. Magari ambayo hayajasajiliwa lakini ushuru wote umelipwa mara nyingi huwa na bei ya juu zaidi, karibu sawa na bei za gari hii showroom Dar es salaam. Magari yenye namba kama Namba E, D, C, B au A huwa bei nafuu, na kadiri herufi inavyoshuka (kwa mfano kutoka E kwenda A) ndivyo bei za magari inavyopungua.

Ili kupata bei nzuri, linganisha matangazo kadhaa ya Subaru XV hapa GariPesa, angalia mwaka, mileage, picha za ndani na nje, pamoja na maelezo ya mmiliki. Hatua hii itakusaidia kujua kama bei uliyopewa iko ndani ya viwango vya sokoni kwa aina ya gari unayotaka au la.

Download GariPesa App

Soko Kuu la Magari.