









Bei ya muuzaji: TSh 127,500,000
Jaguar F-Pace R-Sport Edition ya mwaka 2016 inauzwa. Ina injini ya Diesel ya 1990cc na imetembea kilomita 81,000. Gari hili la kijani lina paa la kioo (panoramic sunroof), viti vya ngozi, na mfumo wa turbo. Bado haijasajiliwa nchini Tanzania na usajili ni bure.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.