









Bei ya muuzaji: TSh 68,500,000
Volkswagen Touareg ya mwaka 2011, rangi nyeusi, inauzwa kwa shilingi 68.5 milioni. Ina injini ya petroli ya 3500cc na imetembea kilomita 57,000. Gari hili lina viti vya ngozi, dashboard ya kidijitali, na bado halijasajiliwa Tanzania.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.