

















Bei ya muuzaji: TSh 118,000,000
Jaguar F-Pace R-Sport ya mwaka 2016 inauzwa. Ina injini ya 1990cc Turbo Diesel na imetembea kilomita 81,000. Gari hili la kifahari lina rangi ya kijani, milango 5, na linakuja na Panoramic Sunroof, Leather Seats, Paddle Shifters, Sport & Eco Modes, na full options. Bei ni TSh 118,000,000 ikijumuisha usajili wa bure. Imeingizwa kutoka nje ya nchi na bado haijasajiliwa.
Business Seller β’ Matangazo 52 β’ Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari ππ° au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari Tanzania.