









Bei ya muuzaji: TSh 41,000,000
Nissan X-Trail ya mwaka 2016, injini 1998cc Petroli, Automatic, imetembea 47,423km. Gari hii nyeusi imeagizwa moja kwa moja kutoka Japan na bado haijasajiliwa, bei inajumuisha usajili. Ina mfumo wa 4WD, magurudumu ya aloi, kamera ya kurudi nyuma, na kuwasha kwa kitufe.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari Tanzania.