



















Bei ya muuzaji: TSh 35,500,000
Nissan X-Trail ya mwaka 2016, injini ya petroli 1,990cc, Automatic transmission, mileage 54,000 km. Gari ina rangi ya bluu (Graphite Blue), milango 5, na mfumo wa 4WD. Imeingizwa kutoka nje ya nchi na bado haijasajiliwa. Ina sifa kama Push to Start, magurudumu ya alloy, kamera ya 360, na viti vya ngozi.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari Tanzania.