









Bei ya muuzaji: TSh 40,000,000
Nissan X-Trail ya mwaka 2013, rangi nyeupe, injini ya petroli 1998cc yenye silinda 4 na automatic transmission. Imeingizwa moja kwa moja kutoka Japan ikiwa na mileage ya 42,215km na bado haijasajiliwa. Ina features kama airbags, ABS, alloy wheels, reverse camera, na push start.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari Tanzania.