Filters

Results Clear all

Mkoa

Mkoa

Make

Make

Model

Model

Condition

Condition

Body-Type

Body-Type

Drive Type

Drive Type

Transmission

Transmission

Fuel Type

Fuel Type

Cylinders

Cylinders

Color

Color

Doors

Doors
Clear all
More filters
1 Result
Sort by:
Panga Kwa: Pendekezwa
Audi A6 (2013)
Audi a6 ya mwaka 2013, rangi nyeupe, inauzwa kwa tzs 29,800,...
TSh 29,800,000
2013 • Not-Reg • Petrol
Dar es Salaam
Automatic

Kununua Gari

Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.

Kuuza Gari

Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!

Bei Ya Audi A6 Tanzania

Bei ya Audi A6 inategemea mambo kama mwaka wa kutengenezwa, hali ya gari, mileage, usajili na kama gari ni used au jipya la showroom. Hapa GariPesa unaweza kulinganisha matangazo mbalimbali ya Audi A6 ili uone bei halisi ya sokoni na kuzuia kulipia bei ya juu kupita kiasi.

Tunashauri uangalie magari yenye historia nzuri ya matunzo, taarifa za inspection na picha za kutosha kabla ya kufanya uamuzi. Ukiona bei imeshuka sana kuliko magari mengine ya Audi A6, hakikisha unakagua gari vizuri ili ujiridhishe kuwa hakuna tatizo kubwa limefichwa.

Pia aina ya usajili wa plate namba ya gari una athari kubwa kwenye bei. Magari ambayo hayajasajiliwa lakini ushuru wote umelipwa mara nyingi huwa na bei ya juu zaidi, karibu sawa na bei za gari hii showroom Dar es salaam. Magari yenye namba kama Namba E, D, C, B au A huwa bei nafuu, na kadiri herufi inavyoshuka (kwa mfano kutoka E kwenda A) ndivyo bei za magari inavyopungua.

Download GariPesa App

Soko Kuu la Magari.