















Bei ya muuzaji: TSh 26,500,000
Toyota Vellfire ya mwaka 2008, rangi nyeusi, injini ya 2360cc na mileage ya kilomita 52,000. Gari hii imeagizwa kutoka Japan na bado haijasajiliwa nchini. Ina milango ya kuteleza ya automatic na sport rims. Bei ni milioni 26.5 pamoja na usajili.
Business Seller • Matangazo 136 • Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari Tanzania.