







Bei ya muuzaji: TSh 28,500,000
Toyota RAV4 ya mwaka 2001, rangi nyeusi, inauzwa kwa Tsh 28.5 milioni. Ina injini ya petroli ya 1790cc na imetembea kilomita 79,000. Gari hili lina namba za usajili za Tanzania (Namba E), ina AC na redio ya Android.
Business Seller • Matangazo 93 • Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.