









Toyota Rav4 ya mwaka 2005 inauzwa. Ina injini ya 1790cc VVTi, rim za sport, na Android TV. Gari hili la rangi ya Silver lina usajili wa Namba E na linatumia petroli. Bei ni shilingi milioni 29.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari Tanzania.