









Bei ya muuzaji: TSh 78,000,000
Toyota Coaster yenye injini ya 1HZ, inatumia Diesel na ina manual transmission. Ina viti 29 na full AC. Gari hii ni mpya kutoka nje na haijawahi kutumika Tanzania, bado haijasajiliwa. Inauzwa kwa shilingi milioni 78, maongezi yapo.
Business Seller β’ Matangazo 15 β’ Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari ππ° au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari Tanzania.