









Bei ya muuzaji: TSh 67,000,000
BMW X5 ya mwaka 2016, rangi nyeupe, inatumia injini ya diseli yenye 2990cc na gia otomatiki. Gari hili lina ‘push to start’, AC kamili, sunroof, na viti vya ngozi. Ina matairi na rimu mpya za spoti, pamoja na kamera ya kurudi nyuma. Nyaraka zake zimekamilika na inauzwa kwa milioni 67.
Business Seller β’ Matangazo 15 β’ Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari ππ° au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari Tanzania.