









Epuka Kuuziwa Gari Bovu! Kabla huja-lipia tutakagua engine, gearbox na hitilafu zote za gari zinazoweza kukupa hasara kubwa katika matengenezo. Pata ukaguzi kamili kwa TSh 49,000/= tu popote ndani ya Dar es salaam.
π Book Ukaguzi LeoUmepungukiwa Fedha ya Malipo ya Gari? Ondoa shaka! GariPesa tutakupa mkopo wa haraka, ulipie gari hili liwe lako.
π¦ Omba Mkopo SasaBei ya muuzaji: TSh 29,500,000
Inauzwa Subaru Impreza XV Hybrid ya mwaka 2014. Inaendeshwa na injini ya 2.0L Hybrid Petrol na umeme, ikiwa na mfumo wa AWD na gia za Automatic. Rangi yake ni Grey na ina mileage ya 67,900 KM. Imekamilika na mfumo wa Eyesight Safety System, Viti vya umeme, Push to Start na Keyless Entry, pamoja na Rim Sport na Fog Lights. Gari hili linakula mafuta kidogo na linafaa kwa mvua na barabara mbaya.
Business Seller β’ Matangazo 38 β’ Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari ππ° au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari Tanzania.