









Epuka Kuuziwa Gari Bovu! Kabla huja-lipia tutakagua engine, gearbox na hitilafu zote za gari zinazoweza kukupa hasara kubwa katika matengenezo. Pata ukaguzi kamili kwa TSh 49,000/= tu popote ndani ya Dar es salaam.
🔍 Book Ukaguzi LeoUmepungukiwa Fedha ya Malipo ya Gari? Ondoa shaka! GariPesa tutakupa mkopo wa haraka, ulipie gari hili liwe lako.
🏦 Omba Mkopo SasaBei ya muuzaji: TSh 20,800,000
Inauzwa Subaru Forester XT Turbo ya mwaka 2009 yenye engine ya 1990cc Turbo na mfumo wa AWD. Gari hii ina transfimishini ya Automatic, rangi ya bluu, na imesafiri kilomita 120,000. Ina sifa za sunroof, sports rims, na redio ya Android. Imewekwa katika hali nzuri sana na inafaa kwa matumizi ya familia na safari ndefu.
Business Seller • Matangazo 38 • Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari Tanzania.