





















Epuka Kuuziwa Gari Bovu! Kabla huja-lipia tutakagua engine, gearbox na hitilafu zote za gari zinazoweza kukupa hasara kubwa katika matengenezo. Pata ukaguzi kamili kwa TSh 49,000/= tu popote ndani ya Dar es salaam.
🔍 Book Ukaguzi LeoUmepungukiwa Fedha ya Malipo ya Gari? Ondoa shaka! GariPesa tutakupa mkopo wa haraka, ulipie gari hili liwe lako.
🏦 Omba Mkopo SasaBei ya muuzaji: TSh 43,000,000
Subaru Forester ya mwaka 2016 inauzwa. Ina injini ya 2.0L Petroli, Automatic Transmission na mfumo wa AWD. Gari hii imeagizwa kutoka nje, haina usajili na ina mileage ndogo. Ina sifa kama Push Start, kamera ya kurudi nyuma, multimedia ya touch screen, viti vya ngozi na power seats, rimu za michezo na matairi mapya. Bei ni TZS 43,000,000.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.