









Bei ya muuzaji: TSh 14,500,000
Nissan Note ya mwaka 2013, rangi nyeusi, inauzwa kwa TZS milioni 14.5. Ina injini ya 1200cc ya petroli, automatic transmission, na milango 5. Gari hili limetumika Tanzania na lina namba ya usajili Namba E. Ina sifa za ECO Mode, autostart engine, na push to start.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.