









BMW 1 Series ya mwaka 2012, rangi nyeupe, injini ya 1500cc petroli, inauzwa kwa TZS 22.8 milioni. Gari hili limetumika nje ya nchi, halijasajiliwa, lina transmission automatic, sports rim, navigation camera, push start, na driving mode za ECO PRO & SPORT.
Business Seller β’ Matangazo 7 β’ Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari ππ° au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari Tanzania.