









Bei ya muuzaji: TSh 90,000,000
Fuso Crane ya Mitsubishi inauzwa Dar es Salaam. Ina injini ya Diesel 6D16 na uwezo wa kubeba tani 4, na crane inaweza kubeba tani 8. Gari hili lina nyaraka kamili na liko katika hali nzuri. Bei ni shilingi milioni 90.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.