









Bei ya muuzaji: TSh 90,000,000
Fuso Tipper yenye injini ya 6D16 inauzwa Dar es Salaam. Gari hili la mizigo lina rangi nyeupe na linatumia mafuta ya Diesel. Bei yake ni shilingi milioni 90, na maongezi yapo.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.