









Bei ya muuzaji: TSh 15,500,000
Mazda Demio ya mwaka 2015, rangi ya bluu, inauzwa kwa TZS 15,500,000. Ina injini ya 1290cc na imetembea kilomita 68,000. Gari hili lina namba za usajili za Tanzania, Namba E, na lina matairi mapya na rimsport za kuvutia. Ndani ni safi na ina Android TV.
Business Seller • Matangazo 14 • Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.