





Bei ya muuzaji: TSh 16,000,000
Mazda Demio ya mwaka 2012 inauzwa ikiwa na injini ya 1340cc na imetembea kilomita 63,313. Gari hili lina rangi nyekundu, milango 5, na usajili wa Namba E. Ina mfumo kamili wa A/C na Eco mode.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari Tanzania.