



























Bei ya muuzaji: TSh 25,900,000
Mazda Atenza ya mwaka 2013, rangi nyeusi, injini ya diesel 2180cc, imetembea kilomita 59,000 tu. Ina viti vya ngozi, mfumo wa sauti wa Bose, na rimu za michezo. Gari ipo katika hali safi na haijasajiliwa, usajili utafanywa bure kwa mnunuzi.
Business Seller • Matangazo 52 • Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Je, gari unalotaka kununua linauzwa bei gani? Jaza fomu fupi hapa chini upate bei halisi ya gari unalotaka kununua.
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.