









Bei ya muuzaji: TSh 148,000,000
Lori la Howo Tipper 371 la mwaka 2019 linauzwa. Lina rangi nyeupe, limefanya kilomita 40,000 na bado halijasajiliwa Tanzania, ingawa bei ya TZS 148,000,000 inajumuisha usajili. Ni gari imara na tayari kwa kazi nzito.
Business Seller β’ Matangazo 8 β’ Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari ππ° au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.