









Bei ya muuzaji: TSh 139,000,000
Scania R450 ya mwaka 2015 inauzwa. Ina injini ya silinda 6 yenye nguvu ya 450 Horsepower na transmission Automatic (Opticruise). Inatumia Diesel na ina rangi nyeupe. Gari hili limetumika nje ya nchi (Uingereza) na bado halijasajiliwa Tanzania, usajili unajumuishwa kwenye bei.
Business Seller β’ Matangazo 19 β’ Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari ππ° au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.