









Bei ya muuzaji: TSh 14,800,000
Honda Fit Hybrid ya mwaka 2012, rangi nyeusi, inauzwa Tabora. Ina injini ya 1300cc, automatic transmission, na ni gari ya kutumia mafuta kidogo. Imeandikishwa Namba E na ina milango 5.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.