









Bei ya muuzaji: TSh 68,000,000
BMW X6 ya mwaka 2014, rangi nyeusi, inauzwa kwa milioni 68. Ina injini ya 3.0L (3000cc) na gia otomatiki. Gari hili lina sifa kama sunroof, spoilers, viti vya ngozi na kamera ya nyuma. Iko katika hali nzuri sana na haijasajiliwa.
Business Seller β’ Matangazo 140 β’ Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari ππ° au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.