







Bei ya muuzaji: TSh 43,900,000
BMW X1 ya mwaka 2016, injini ya petroli 1990cc na gia otomatiki. Gari hili lina rangi ya Zanzibar Bronze (kahawia), viti vya ngozi, buti otomatiki, kamera ya kurudi nyuma, push to start, na sunroof. Bado haijasajiliwa na usajili ni bure.
Business Seller β’ Matangazo 25 β’ Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari ππ° au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.