







Bei ya muuzaji: TSh 89,000,000
Mercedes Benz Maybach ya mwaka 2014 inauzwa kwa TZS 89,000,000. Gari hii ina injini ya V12 yenye ujazo wa 6000cc, ni ya mseto (Hybrid) na inatumia Petrol. Imetembea kilomita 72,000, ina viti vya ngozi, sunroof, rimu za michezo na matairi mapya. Ina taa za ambient na milango ya soft close. Ipo katika hali safi na haijasajiliwa Tanzania.
Business Seller β’ Matangazo 85 β’ Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari ππ° au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari Tanzania.