







Epuka Kuuziwa Gari Bovu! Kabla huja-lipia tutakagua engine, gearbox na hitilafu zote za gari zinazoweza kukupa hasara kubwa katika matengenezo. Pata ukaguzi kamili kwa TSh 49,000/= tu popote ndani ya Dar es salaam.
🔍 Book Ukaguzi LeoUmepungukiwa Fedha ya Malipo ya Gari? Ondoa shaka! GariPesa tutakupa mkopo wa haraka, ulipie gari hili liwe lako.
🏦 Omba Mkopo SasaBei ya muuzaji: TSh 84,000,000
BMW X3 M-Sport ya mwaka 2018 inauzwa. Ina injini ya 2.0L Diesel na transmission ya Automatic ZF 8-Speed. Gari hii ni nyeusi, ina milango 5, na ni Used Nje Ya Nchi ikiwa na Grade 4.5. Inakuja na usajili wa bure na ina mileage ndogo. Ina sifa za kifahari kama 20” rims, 360° camera, Auto Parking na Radar Safety.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.