

















Bei ya muuzaji: TSh 80,500,000
BMW X3 mpya iliyowasili, modeli ya 2018, rangi nyeupe, injini ya dizeli 2000cc na gia otomatiki. Ina viti vya ngozi ya kahawia, kamera 360, na usajili wa bure.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Je, gari unalotaka kununua linauzwa bei gani? Jaza fomu fupi hapa chini upate bei halisi ya gari unalotaka kununua.
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.