









Bei ya muuzaji: TSh 26,800,000
Toyota Vellfire ya mwaka 2010, rangi nyeusi, injini ya petroli 2360cc, imetembea kilomita 51,000. Gari hili limeingizwa kutoka nje ya nchi na linauzwa ikiwa na usajili mpya. Ina sifa kama vile sports rims, spoiler ya nyuma, taa za ukungu, taa za Xenon, mfumo wa urambazaji na push to start.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.