







Bei ya muuzaji: TSh 48,800,000
Land Rover Range Rover Sport Autobiography ya mwaka 2010 inauzwa kwa Tsh 48.8 milioni. Gari hili la rangi ya kijivu lina injini ya dizeli ya 3.0cc na imetembea kilomita 63,000. Ina viti vya ngozi, sunroof, rimu za sport, USB/Bluetooth, na friji ndogo. Bado haijasajiliwa Tanzania na usajili ni bure.
Business Seller • Matangazo 93 • Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.